Fideline Iranga amekuwaje?

innocent j

Member
Jan 17, 2012
58
9
1582866889159.png


Jamani Fide amepungua hadi amekwisha. Tatizo sijui ni ugonjwa au ndio diet , watu wamjini mtujuze. We unamwonaje kapendeza au kaharibu? Angalia picha nilizoattach

1582866866696.png
 

Attachments

  • fide.jpg
    fide.jpg
    12.1 KB · Views: 2,938
  • fide2.jpg
    fide2.jpg
    9.9 KB · Views: 1,587
Swali la kwanza hizo picha ulikuwa unamvizia nini? La pili nakusamehe, back to the topic naona aliamua kuchagua maisha ya heri maisha mafupi yenye raha kuliko marefu yenye shida sasa anataabika maana ukianza kuloose unene more than 10% kwa muda mrefu ni hatari.
 
Sijui kama anaumwa au vipi lakini anatisha sana kwa kweli duh?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom