innocent j
Member
- Jan 17, 2012
- 58
- 9
Mungu amsaidie nilikuwa nampenda sana huyu dada.Mmmhh huyu si yuko kwa chronic diseases clinic!!
Mungu amsaidie nilikuwa nampenda sana huyu dada.
mkuu kwani anaumwa ?
Labda anakwenda na fasheni.Duuh, anatisha sio siri.
Kulikoni kajikondesha hivyo?
Comments hapo juu zinanifanya niwaze hivo
Embu madokta watujuze, i dont think it is advisable to loose weight this muchSijui kama anaumwa au vipi lakini anatisha sana kwa kweli duh?
Sitashangaa inno, si unawajua maselebriti wetu walivyo? Akili ziko nyuma dk 10...Labda anakwenda na fasheni.
Nifanyie sketch diagram hapa, naogopa kufungua attachment maana kila mtu kashtukaSitashangaa inno, si unawajua maselebriti wetu walivyo? Akili ziko nyuma dk 10...
Lol, fungua tu ujionee mwenyewe, hafai. Usiombe mtu mnene akonde ghafla bht.Nifanyie sketch diagram hapa, naogopa kufungua attachment maana kila mtu kashtuka
Kwani ni yeye huyo SL? Amekuwa kimodeli kweli au alienda india kama Mustafa Hassanali labda...Lol, fungua tu ujionee mwenyewe, hafai. Usiombe mtu mnene akonde ghafla bht.