akili ya ziada inaitajika kumuelewaSTRICTLY HIPHOP
Maisha hayakupi unachotaka/
Ila yanakupa unacho tafuta/
_______________________________
Wema anataka saa almas/
Zari anaujali muda/
________________________________
Hawaamin kwenye kuunda diamond au kiba wawili/
Wanachoamin ni kumshusha mmoja ili mmoja awe
dili/
__________________________________________
Daaah hzo punch nmezielewa sana
#Msukuma_Genius
#Happy birthday @therealfidq
#SUMU
Sugu alikuwa anatumia mistari ya kawaida kwenye nyimbo zake ila zilikuwa kali kuliko maelezo.
Huyu Fid Q anaye-Copy mistari kwenye vitabu hadi leo hajawahi kutoa wimbo mkali kuzidi wimbo wowote wa Sugu.
Hahahaha JF raha sana mkuu umenchekesha sana eti "I really enjoy havin Fid Q in my iphone" kwani ungesema in my phone icngeeleweka? hahahahaha daaah
Ukiwa msomaji wa vitabu mambo mengi sana utayapata huko.Watu wengi siku hizi wanapenda nyimbo za kukata viuno hili ni tatizo!!Ukisikiliza nyimbo za huyu jamaa lazima ujifunze kitu big up kwake!!
Nimedownloa nimesikiliza nusu nikafuta nothing change.Hovyooo... Hard feelings haziuzi
mnafurahia nyimbo kwa kudownlod huku show hamuend mnaenda walikojaa mademHuyu ndio real Ngosha,aliniangusha sana kwenye Walk It Off.
Nimependa sana ile intro ya kisukuma
Joh Makini ndio anawadanganya hao eti hakopi kwenye vitabu. Inabidi wakamuulize Huyo Joh eti Fid anakopi vitabu gani!? Labda anaweza kuwatajia. Hahahaaaa.Fine hebu tutajie mistari hata miwili tu aliyo copy kwenye kitabu chochote. Utupe na mwandishi tafadhar. Hiv ww unafiki kusoma kitabu ni kaz rahis??? Tutajie kitabu ulichosoma ww tokea huu mwaka uanze .
Jay Moe kabadilika vipi ndugu!? Naomba unisaidie.Nimedownloa nimesikiliza nusu nikafuta nothing change.
Bora nisikilze pesa madaf mkongwe aliyeamua kwenda na wakati
We jamaa.acha ujinga....ebu.sikiliza upya hata kale kamstar aliko mtaja wema,zari mond na kiba...au ndio nyinyi wenye chuki binafsiMistari ya kukopi kwenye vitabu...halafu nasikia jamaa anatumia ngada...?
Kabisaa yaanHapo mpaka mtu atulie ndo atamuelewa huyu anataka saa yule anajali muda ina maana anae jali muda tayari saa anayo? lazima kichwa kikuume kwanza kuielewa mistari yake tupo pamoja kaboom.
Inaonekana haupo interested na music anaofanya fid q (under ground hiphop) ndo maana unatafuta point of weakness ili jamaa aonekane wack....but inshort akiamua kuitafsiri hiyo ngoma ya sumu patatokea uchonganishi mkubwa sana,maana ngoma nzima kazungumzia mambo yanazngua kwenye tasnia ya sanaa,ndo maana unakuta hakutaka kutoa ufafanuzi wa zaidi .... ila cheki interview zake youtube ndo utaelewa kama jamaa ana uwezo kiasi gani pia zipo ambazo alifafanua mistari ya nyimbo zake ..... huwa anapenda kufafanua mambo ya kijamii zaid.Asitumie nguvu sana kuimba hiyo nyimbo, haina walaji@&$ aendane na soko lililokuwepo, that's too hard to understand the content, Jana usiku nilikuwa namsikiliza clouds fm kwa mara ya kwanza anarelease ikafika hatua wale presenter wakaweka mistari aifafae akawa ye mwenyewe hajui ipo sehemu ganiiiii>>kituko ikabidi wazuge, hata pale mwenyewe alipoambiwa afafanue mstari kwa mstari sikuwa namuelewa maana anarudia maneno yaleyale badala ya kufafanua maana halisi ya content, So Fid kwenye hii ngoma kazingua, aache hizo huu wimbo hautakaa sana sokoni utapokea within very few weeks, time will tell