Fid Q, How do you explain this brother?


Ukiwaambia watu fid q kopikat wannajifanya wanajua haya sasa yako wp
 
Last edited by a moderator:
Mfalme halisi ni nani?

Ukiongelea real Hip hop kwa sasa mfalme ni Nash Mc hakuna mwingine. Farid amekuwa namuona, anaanza kuandika namuona, anaanza kukopi quotes kutoka malenga na vitabu vya mnara wa mlinzi namuona. Anapanda jukwaani mara ya kwanza namuona. Hivyo ukimuita mfalme lazima nikushangae. Faridi humjuih hata kidogo hilo am sure. Kuwa mwanahiphop unatakiwa usidanganye maisha unayoishi na jamaa yako anaenda kinyume kabisa..
 
Lengo la hii ni uzi nn? Hakuna kitu utasema hapa dunian kiwe hakijasemwa kabla.
 

Unaposema 90's ni tofauti sana na unaposema 1990 kama umepita darasani nadhani utaelewa hapa umejikanyaga. Kingine Faridi hakuwa na miaka 7 1990 hapa umekurupuka rudi kwenye chanzo chako cha taarifa. Faridi yuko kwenye mid thirties haiwezekani 1990 akawa 7 years. Faridi hajui wala hajawahi kukamua ng'ombe kazaliwa uswahilini mwanza na kukulia kata ya mirongo. Go back to the drawing board.
 

teh teh teh teh.....nimechagua tu kukuPUUZA!
 

Naaaash Mceeee...!? we jamaa umelewa wewe... of all Mcees bongo nasha mceeeee....!? khaaa
 
Hata viongozi wa Chadema wanacopy speech ya Martin Luther King. Mfano kile kibwagizo cha... '' Hundred year later...... Mbowe anasema.. "Miaka 50 ya uhuru..."

Bongo kila mtu anacopy tu ! Sikiliza wachungaji, wanasiasa, mapresenta wa radio, tv shows nk ndo utadata mkuu
 
Niliamini mapene hayatoshi..na niki-hustle siyakosi/
Sababu.. sipo kwenye loss na life simple huwa hai-cost/
Kwahivyo nikaenda Dar na treni... of thoughts../
Sikwenda kuzubaa au kushangaa nikusaka chapaa boss/
Sikutaka kuivaa mikosi..nilitaKa kuivaa mikoti/
Sikuwa na passport..password.. pin..lakini ni crack codes/
Walionisapoti wote siwaoni kwa line/
Wakini-approach ili nifungue pochi ya noti tu-shine..hatuko fine/
Je mimi ni kaka mubaya...? kaka aso haya../
KAKA..? huniitaga NAKAAYA/
Mama C huniita brother bila shaka.. Mozaya/
Niko sick & tired of being sick & tired/
Na huu ni mwaka wa ndui/ Sitaki upele urudi tena.. mnachotaka sikijui/
Nashukuru hamtopata mbawa ikiwa mtaupata huo uchui/
Mnautaka uadui? mnayempaka ni mtata.. makaka hamkui?
Mmeendekeza hila.. legeza hasira za harakati/
Mie nita-ball.... hata kwa mpira wa makaratasi/
Unaweza ukahisi mie napita tu.. kwakusahau mie nina-hustle/
Nimezaliwa Afrika.. ugumu wa maisha umenifunza ku-struggle/
Ukiwa idle.. unamu-attract shaytwan (SHETANI)/
Kichwani nina MSAHAFU na BIBLE.. life ni zaidi ya ku-have fun/
Kwani.. Kila kicheche anajiona ni mzima/
Na njia pekee ya kuepuka ngoma ni kugoma kupima/
Ikiwa maujuzi haya hayakugusi.. itanilazimu nikuelewe/
Sometimes hata kamusi.. huimiss tafsiri yenyewe/
Nalindwa na dua za mama.. tangu baba simjui/
Namfanya adui mwenye njama aache drama na akue/
Ili ajijue kabla hajakwama huko mrama asitue/
Ajikwamue kwenye lawama.. yenye maana yamchukue/
Kisha anaiombee mimi ili nifaidike kwa hizi mbio/
Siamini kwenye umasikini hivyo sihofii mafanikio/
Ndiyo.. mie ni LEO kwahiyo sifikirii kushindwa/
Zingatia kauli hiyo hausikii inaashiria ubingwa?/
Mie ni mbishi.. muulize Nikki - hatopinga/
Na hata kama ningekua mbuzi ningelala chaka la simba..
 
Last edited by a moderator:

Mkuu this is not fair at all
Unachoofanya wewe ni kutafuta mistari ya kuunga unga na kuifanyia tafsiri zako kuoanisha na mistari ya Ngosha

Anachofanya Ngosha ni kutumia mistari maarufu yenye misamiati ambayo kwa hali ya kawaida lazima itakuwa imetumika sana
 

Bro, Fid humo ka-bite 100%, sio mstari, sio neno tu. In-short, katafsiri. Haina tofauti na alichowahi kufanya Ngwair kwenye ngoma ya Marques Houston 'Clubbin'. At-least Ngwair was just having fun, and he was honest about it.
 

Who the hell are you dissing the best hip hop icon like Nas who still keeping it real in the game? ??? Come on man you can't underrate Escober like that.
 
Who the hell are you dissing the best hip hop icon like Nas who still keeping it real in the game? ??? Come on man you can't underrate Escober like that.

I ain't dissed no one man, I just stated the facts.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…