ligendayika
JF-Expert Member
- Aug 31, 2012
- 1,183
- 198
State mashinery
Hivi kweli hawa jamaa ni waTZ kweli, mi sura zao wengi nikiziangaliaga na jinsi walivyo hawafananii kabisa.
Hivi kweli hawa jamaa ni waTZ kweli, mi sura zao wengi nikiziangaliaga na jinsi walivyo hawafananii kabisa.
hawana stress yoyote bali wana follow orders kutoka kwa wakubwa.I thnk huwa wanazitoa stress na ugumu wa maisha yao kwa raia wasio na hatia .