Hebu ona sasa ulivyo mfinyu wa uelewa. Tunajaribu kuwafungua macho muelewe mambo yanakuwaje. Ni wapi ulipo tushika?
Halafu bahati mbaya unaongea uongo kabisa. Hiyo picha hauioni kuwa ni mbali kabisa na uwanja wa ndege? Tena hapo ni nje ya uwanja wa ndege. Huoni hata magari hapo!!?
Hebu weka link yoyote inayoongelea hiyo taarifa hapa.
Tatizo wakenya ni uogo, wivu, roho mbaya. Kila kukicha kutunga stori ili kuichafua Tanzania. Mmejazana humu lengo lenu kuichafua Tanzania. badala ya kuongelea msuala ya kwenu mnaanza kuichafu tanzania.
Stupid. Mnategemea tutakuwa na umoja na nyie. Ongeleeni yenu. Na kama taarifa ni ya ukweli weka source yake. Mbona sisi huwa tunaweka sources?