Ferry boats to start docking at JNIA?

Ferry boats to start docking at JNIA?

Hata steshen za BRT watu mpaka waagize ferry
T.jpg
 
Hebu ona sasa ulivyo mfinyu wa uelewa. Tunajaribu kuwafungua macho muelewe mambo yanakuwaje. Ni wapi ulipo tushika?
Halafu bahati mbaya unaongea uongo kabisa. Hiyo picha hauioni kuwa ni mbali kabisa na uwanja wa ndege? Tena hapo ni nje ya uwanja wa ndege. Huoni hata magari hapo!!?
Hebu weka link yoyote inayoongelea hiyo taarifa hapa.
Tatizo wakenya ni uogo, wivu, roho mbaya. Kila kukicha kutunga stori ili kuichafua Tanzania. Mmejazana humu lengo lenu kuichafua Tanzania. badala ya kuongelea msuala ya kwenu mnaanza kuichafu tanzania.
Stupid. Mnategemea tutakuwa na umoja na nyie. Ongeleeni yenu. Na kama taarifa ni ya ukweli weka source yake. Mbona sisi huwa tunaweka sources?


Hiyo hapo evidence
 
Dar is the coastal city, this weather condition with this great rain falls to the city like Dar is not news

Look at US
IMG_20180507_085146_283.jpg
IMG_20180507_085122_657.jpg
IMG_20180507_085105_958.jpg
 
Hii ni Nairobi baba watu wanakufa kutokana na floods.

upload_2018-5-7_8-55-47.png


upload_2018-5-7_8-50-57.png
 


Hiyo hapo evidence

Acha uongo hiyo siyo Julius Nyerere International Airport. Prove kama hiyo ni Tanzania.
Leta source ya uhakika tuone kama. Halafu aliye weka hiyo video ni Faishl memon.
 
Gerarahia men! "
Unaharibu 'image'
Heri Nairobi kunaflood sehemu zingine lakini airport duuuu!😀😀😀
We both know who the old women are here, you bitch around on negativity about Kenya then when it hits you hard you play silly. Yeah they should relocate and join their calibre,loud mouths!
hehehe,young D moto kama pasi😀😀😀
Aiseeeh!
Kwakweli hii shithole kabisa
IMG_20180507_085937_749.jpg
IMG_20180507_085951_768.jpg
IMG_20180507_090008_789.jpg
IMG_20180507_090024_404.jpg
IMG_20180507_090043_163.jpg
 
Hii ni Nairobi baba watu wanakufa kutokana na floods.

View attachment 768773

View attachment 768767
Yeah hapo Ni Nairobi. It flooded. Huu Ndio upuzi mlianzisha. You laugh and make jokes out of such things when they happen in Kenya, tukicheka on same issues huko kwenu, which by the way we never wanted to, mnasema tunaharibu jina ya Tz. The thing is, use this forum for the right purpose if you ever had any in the first place, I hear you are the owners, educate those who don't know, share job opportunities na mtasaidika, ujinga ya kujilinganisha na Kenya brings out the old women character one of you alluded to. Peace!!
 
Twende kazi sasa na wajinga wa Nairobi.
 
Hebu ona sasa ulivyo mfinyu wa uelewa. Tunajaribu kuwafungua macho muelewe mambo yanakuwaje. Ni wapi ulipo tushika?
Halafu bahati mbaya unaongea uongo kabisa. Hiyo picha hauioni kuwa ni mbali kabisa na uwanja wa ndege? Tena hapo ni nje ya uwanja wa ndege. Huoni hata magari hapo!!?
Hebu weka link yoyote inayoongelea hiyo taarifa hapa.
Tatizo wakenya ni uogo, wivu, roho mbaya. Kila kukicha kutunga stori ili kuichafua Tanzania. Mmejazana humu lengo lenu kuichafua Tanzania. badala ya kuongelea msuala ya kwenu mnaanza kuichafu tanzania.
Stupid. Mnategemea tutakuwa na umoja na nyie. Ongeleeni yenu. Na kama taarifa ni ya ukweli weka source yake. Mbona sisi huwa tunaweka sources?
tulia sindano ifanye kazi!

ona sasa zizi hilo la ngurwe linakuwa danger kwa wasafiri na viombo vya usafiri! hivi mtaweza kuilipa KQ hasara iliyopata??
isee hapa hadi ferry hakuna kuepuka!!
kenya_e190_dar_es_salaam_140411_1.jpg

kenya_e190_dar_es_salaam_140411_2.jpg

kenya_e190_dar_es_salaam_140411_3.jpg

IMG_20180507_090209_386.JPG

IMG_20180507_090246_955.JPG

IMG_20180507_090332_347.JPG


wavuti: Heavy rains, floods in Dar claims 10 lives
 
tulia sindano ifanye kazi!

ona sasa zidi hilo la ngurwe linakuwa danger kwa wasafiri na viombo vya usafiri! hivi mtaweza kuilipa KQ hasara iliyopata??
isee hapa hadi ferry hakuna kuepuka!!
View attachment 768786
View attachment 768787
View attachment 768788
View attachment 768789
View attachment 768790
View attachment 768791

wavuti: Heavy rains, floods in Dar claims 10 lives
10 vs 100+
Hivi nyie wakenya akili zenu zinawatosha kweli?

upload_2018-5-7_9-11-42.png

Over 100 dead in Kenyan floods
 
Twende kazi sasa na wajinga wa Nairobi.
We already saw this, Tumeona hizi Kaka!! Kutokana na upuzi wenu wa kupost shit about Kenya, ila Huu uchafu wenu Leo utaanikwa hapa Kama machupi ya wasanii wenu wengine.
 
kama ni photoshop unataka useme! mimi nachotaka ni picha ya jkia kama imefurika. ukinipa hiyo, baaas natulia!
You know what brother, it's over. You don't need to engage them anymore. Waelimike. We all know where and who has the problem now
 
Hebu ona sasa ulivyo mfinyu wa uelewa. Tunajaribu kuwafungua macho muelewe mambo yanakuwaje. Ni wapi ulipo tushika?
Halafu bahati mbaya unaongea uongo kabisa. Hiyo picha hauioni kuwa ni mbali kabisa na uwanja wa ndege? Tena hapo ni nje ya uwanja wa ndege. Huoni hata magari hapo!!?
Hebu weka link yoyote inayoongelea hiyo taarifa hapa.
Tatizo wakenya ni uogo, wivu, roho mbaya. Kila kukicha kutunga stori ili kuichafua Tanzania. Mmejazana humu lengo lenu kuichafua Tanzania. badala ya kuongelea msuala ya kwenu mnaanza kuichafu tanzania.
Stupid. Mnategemea tutakuwa na umoja na nyie. Ongeleeni yenu. Na kama taarifa ni ya ukweli weka source yake. Mbona sisi huwa tunaweka sources?

Wacha kulialia ukitafuta pakutokea, hapo ni nje maeneo ya kuegesha magari, ila umeletewa mapicha ya ndani kabisa ya hilo zizi lenu.
Hivyo kila ukileta taarifa mbaya za Kenya, uwe ukijua Tanzania ni mara kumi zaidi nyie watu wa LDC.
 
Back
Top Bottom