GK,CHID BENZ,JAYMO,SAIDA KALOLI,RAY C,OMMY DIMPOZ,wote hawa wamejarib kujirudisha kwenye game but wamefeli....mwambie mziki wa sasa ni wa Wasafi,Aslay,Kiba,Nandy,na vitoto vingine,hao wakina chege walijitunza ndo mana mpk sasa wapo wapo kimtindo.......