kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,793
- 5,042
Moise Katumbi ni kiongozi mwenye nguvu sana sio nguvu ya kupigana nguvu ya akili
Mwaka 2015- 2017 Joseph kKbila aliona njia bora ya kumshinda Moise Katumbi ni kumpa kesi mbaya tu
Mwaka huu wanajaribu kumchafua lakini wapi
MUNGU akisema ndio hakuna wa kusema hapana
Sasa wamebaki kusema Moise Katumbi sio mkongomani wa baba na mama, hayo ni yenu
Sisi tunachohitaji ni kiongozi mwenye uwezo wa kuongoza nchi awe Mkongo au nani sisi hayatuhusu
Mwaka 2015- 2017 Joseph kKbila aliona njia bora ya kumshinda Moise Katumbi ni kumpa kesi mbaya tu
Mwaka huu wanajaribu kumchafua lakini wapi
MUNGU akisema ndio hakuna wa kusema hapana
Sasa wamebaki kusema Moise Katumbi sio mkongomani wa baba na mama, hayo ni yenu
Sisi tunachohitaji ni kiongozi mwenye uwezo wa kuongoza nchi awe Mkongo au nani sisi hayatuhusu