Felix Tshisekedi hawezi kushindana na Moise Katumbi

Felix Tshisekedi hawezi kushindana na Moise Katumbi

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,793
Reaction score
5,042
Moise Katumbi ni kiongozi mwenye nguvu sana sio nguvu ya kupigana nguvu ya akili

Mwaka 2015- 2017 Joseph kKbila aliona njia bora ya kumshinda Moise Katumbi ni kumpa kesi mbaya tu

Mwaka huu wanajaribu kumchafua lakini wapi

MUNGU akisema ndio hakuna wa kusema hapana

Sasa wamebaki kusema Moise Katumbi sio mkongomani wa baba na mama, hayo ni yenu

Sisi tunachohitaji ni kiongozi mwenye uwezo wa kuongoza nchi awe Mkongo au nani sisi hayatuhusu
 
Moïse Katumbi Chapwe alizaliwa 28 Desemba 1964, ni mwanasiasa na mfanyabiashara wa Kongo.


Moïse Katumbi

Alikuwa Gavana wa Mkoa wa Katanga, eneo la Kusini mwa Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo, kuanzia 2007 hadi Septemba 2015.

Alikuwa pia mwanachama wa Chama cha Watu cha Mageuzi na Demokrasia (PPRD) hadi 29 Septemba 2015.

Aliwahi kutajwa kama mtu wa pili mwenye nguvu zaidi katika Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo baada ya Rais Joseph Kabila wakati huo, na alipewa na Jeune Afrique jina la "African Personality of 2015".

Mnamo Desemba 2021, Moïse Katumbi alizindua rasmi chama chake cha kisiasa kwa kuzingatia uchaguzi wa rais wa 2023.
 

Akiwa Gavana wa Katanga​

Muda mfupi baada ya kuchukua madaraka akiwa Gavana wa Katanga, Moïse Katumbi alipiga marufuku uhamishaji wa madini ghafi, hivyo kulazimisha kampuni kubwa za kuchimba madini kufanya na kujenga mageuzi katika mkoa wa Katanga. Na kisha aliongeza ushuru wa ndani kutoka dola bilioni 3 kwa kupambana na ufisadi na kuongeza uuzaji wa nje wa shaba. Mapato haya yalitumiwa kujenga shule, barabara, hospitali, na kuleta maji safi (kutoka asilimia 3 hadi 67 ya ufikiaji wa maji safi) kwa watu wengi maskini.

Kufuatia takwimu ya madini ya Chamber, Moise Katumbi aliongeza uzalishaji wa shaba kutoka tani 8'000 mwaka 2006 hadi kufikia zaidi ya tani milioni 1 mwaka wa 2014.

Utawala wake pia uliweza kujenga zaidi wa barabara zenye urefu wa kilomita 1'000 na kupunguza bei ya unga wa mahindi kutoka dola 45 hadi dola 10 kwa kila gunia.

Mwaka wa 2013, kufuatia Katiba ya Jimbo la nchi yake, Moïse Katumbi alitangaza kuwa asingegombea kwa muhula wa pili akiwa Gavana. Kwa uchaguzi wa urais wa mwaka wa 2016, wachunguzi wengi wa taifa na kimataifa wakati huo walimwona kama mgombea mwenye nafasi na mrithi wa Joseph Kabila.
 
Kama mzazi mmoja mbeligiji wasimpe nchi,Congo imeingizwa Sana na vibaraka na watu wenye damu za nje ya congo
Moïse Katumbi alizaliwa na mama Mkongo na baba Mgiriki aliye fahamika kwa jina la Nissim Soriano, aliyetorokea Rhodes kati ya vita viwili vya dunia ilipotawaliwa na Fascist Italy. Badae alikuja kuhamia Katanga, karibu na Ziwa Moero.
 
Moïse Katumbi alizaliwa na mama Mkongo na baba Mgiriki aliye fahamika kwa jina la Nissim Soriano, aliyetorokea Rhodes kati ya vita viwili vya dunia ilipotawaliwa na Fascist Italy. Badae alikuja kuhamia Katanga, karibu na Ziwa Moero.
Hawa wagiriki wana akili sana, nimemkumbuka bwana mmoja wa kigiriki aliishi kule Kidamali Iringa, Mike Firiakos.
 
Moise Katumbi ni kiongozi mwenye nguvu sana sio nguvu ya kupigana nguvu ya akili

Mwaka 2015- 2017 Joseph kKbila aliona njia bora ya kumshinda Moise Katumbi ni kumpa kesi mbaya tu

Mwaka huu wanajaribu kumchafua lakini wapi

MUNGU akisema ndio hakuna wa kusema hapana

Sasa wamebaki kusema Moise Katumbi sio mkongomani wa baba na mama, hayo ni yenu

Sisi tunachohitaji ni kiongozi mwenye uwezo wa kuongoza nchi awe Mkongo au nani sisi hayatuhusu
Wacongomani wataamua kupitia sanduku la kura...

Japo kama kura zingekuwa zinaheshimiwa huko Drc, Fayulu ndio angepaswa kuwa Rais.

mtu chake
 
Moise Katumbi ni kiongozi mwenye nguvu sana sio nguvu ya kupigana nguvu ya akili

Mwaka 2015- 2017 Joseph kKbila aliona njia bora ya kumshinda Moise Katumbi ni kumpa kesi mbaya tu

Mwaka huu wanajaribu kumchafua lakini wapi

MUNGU akisema ndio hakuna wa kusema hapana

Sasa wamebaki kusema Moise Katumbi sio mkongomani wa baba na mama, hayo ni yenu

Sisi tunachohitaji ni kiongozi mwenye uwezo wa kuongoza nchi awe Mkongo au nani sisi hayatuhusu
hahahaha, uko na card? Rais ni felix
 

Akiwa Gavana wa Katanga​

Muda mfupi baada ya kuchukua madaraka akiwa Gavana wa Katanga, Moïse Katumbi alipiga marufuku uhamishaji wa madini ghafi, hivyo kulazimisha kampuni kubwa za kuchimba madini kufanya na kujenga mageuzi katika mkoa wa Katanga. Na kisha aliongeza ushuru wa ndani kutoka dola bilioni 3 kwa kupambana na ufisadi na kuongeza uuzaji wa nje wa shaba. Mapato haya yalitumiwa kujenga shule, barabara, hospitali, na kuleta maji safi (kutoka asilimia 3 hadi 67 ya ufikiaji wa maji safi) kwa watu wengi maskini.

Kufuatia takwimu ya madini ya Chamber, Moise Katumbi aliongeza uzalishaji wa shaba kutoka tani 8'000 mwaka 2006 hadi kufikia zaidi ya tani milioni 1 mwaka wa 2014.

Utawala wake pia uliweza kujenga zaidi wa barabara zenye urefu wa kilomita 1'000 na kupunguza bei ya unga wa mahindi kutoka dola 45 hadi dola 10 kwa kila gunia.

Mwaka wa 2013, kufuatia Katiba ya Jimbo la nchi yake, Moïse Katumbi alitangaza kuwa asingegombea kwa muhula wa pili akiwa Gavana. Kwa uchaguzi wa urais wa mwaka wa 2016, wachunguzi wengi wa taifa na kimataifa wakati huo walimwona kama mgombea mwenye nafasi na mrithi wa Joseph Kabila.
Martin Fayulu was robbed
 
Back
Top Bottom