Sababu za kwanini Felix Tshisekedi anamuogopa saana Moise Katumbi

kwisha

JF-Expert Member
Sep 9, 2021
1,666
4,365
Cha kwanza Felix anajua Moise Katumbi ana asili ya kiyahudi. Kwa hiyo akili zao anazijua vizuri.

Cha pili Felix anaona umoja wa ulaya pamoja na marekani pamoja na baadhi ya nchi hapa afrika zimuunga mkono katumbi kwa hiyo wanaweza kutumia uwezo wao huo kuwapa rushwa tume ya uchaguzi kikatokea kilichotokea mwaka 2018.

Cha tatu Katumbi ni Tajiri mkubwa pia anaweza kutumia uwezo wake kuchukuwa madaraka.

Cha nne Katumbi ni popular saana nchini anaweza kutumia ushawishi wake kufanya mapinduzi.

Anacho kifanya Felix ni kitu gani ni kutafuta ni jinsi gani atakavyo mpa moise katumbi kesi yeyote ile mbaya ambayo itaweza kuzuia katumbi kugombea urais au kukimbia ndani ya nchi au kuwawa na wananchi wenye asira kali.

Na cha mwisho kinacho mpa wasiwasi felix kwasasa ni ushirikiano wa Joseph Kabila na Katumbi watu ambao walikuwa maadui kwanini wameungana tena.
 
Cha kwanza Felix anajua Moise Katumbi ana asili ya kiyahudi. Kwa hiyo akili zao anazijua vizuri.

Cha pili Felix anaona umoja wa ulaya pamoja na marekani pamoja na baadhi ya nchi hapa afrika zimuunga mkono katumbi kwa hiyo wanaweza kutumia uwezo wao huo kuwapa rushwa tume ya uchaguzi kikatokea kilichotokea mwaka 2018.

Cha tatu Katumbi ni Tajiri mkubwa pia anaweza kutumia uwezo wake kuchukuwa madaraka.

Cha nne Katumbi ni popular saana nchini anaweza kutumia ushawishi wake kufanya mapinduzi.

Anacho kifanya Felix ni kitu gani ni kutafuta ni jinsi gani atakavyo mpa moise katumbi kesi yeyote ile mbaya ambayo itaweza kuzuia katumbi kugombea urais au kukimbia ndani ya nchi au kuwawa na wananchi wenye asira kali.

Na cha mwisho kinacho mpa wasiwasi felix kwasasa ni ushirikiano wa Joseph Kabila na Katumbi watu ambao walikuwa maadui kwanini wameungana tena.
Ni kweli uliyo sema lakini asije subutu kumuua huyo mjamaa maana Damu ikimwagika tu basi wafuasi wake watabakia na kinyongo Daima. Felix naona kuna mahala kashindwa kabisa DRC kila siku ni fujo kuuwana chokoraa wana nguvu kuliko polisi hii ni Mbaya sana kwa ustawi wa nchi hiyo. hapo likasi kila siku ni kuwsahana tu
 
Back
Top Bottom