Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 45,724
- 96,817
hahaha,nakukumbuka chief,safi sana, ila siasa iko congo tu,rwanda hkn siasaNipooo, mguu kwa mguu na Siasa za Congo, Rwanda nk
siasa ya congo mnaijadili sana humu
hahaha,nakukumbuka chief,safi sana, ila siasa iko congo tu,rwanda hkn siasaNipooo, mguu kwa mguu na Siasa za Congo, Rwanda nk
Tiririka mkuu....Martin Fayulu was robbed
Kisababishi cha mjadala wa Congo ni Rwanda na mipango yake ya Siri. Ujio wa Kagame ktk Siasa za maziwa Makuu ni maafa kwa Congo. Mauaji ya 1994 anadaiwa kuhusika. Bado hatujui atasababisha nini maana bado yupo. Nachosubiri ni mwisho wake Kama nilivyousubiri wa Joseph Kabila.hahaha,nakukumbuka chief,safi sana, ila siasa iko congo tu,rwanda hkn siasa
siasa ya congo mnaijadili sana humu
safi sana , hakuna kisicho na mwishoKisababishi cha mjadala wa Congo ni Rwanda na mipango yake ya Siri. Ujio wa Kagame ktk Siasa za maziwa Makuu ni maafa kwa Congo. Mauaji ya 1994 anadaiwa kuhusika. Bado hatujui atasababisha nini maana bado yupo. Nachosubiri ni mwisho wake Kama nilivyousubiri wa Joseph Kabila.
Swali kwani baba na mama yake ni wakongomani?Moise Katumbi ni kiongozi mwenye nguvu sana sio nguvu ya kupigana nguvu ya akili
Mwaka 2015- 2017 Joseph kKbila aliona njia bora ya kumshinda Moise Katumbi ni kumpa kesi mbaya tu
Mwaka huu wanajaribu kumchafua lakini wapi
MUNGU akisema ndio hakuna wa kusema hapana
Sasa wamebaki kusema Moise Katumbi sio mkongomani wa baba na mama, hayo ni yenu
Sisi tunachohitaji ni kiongozi mwenye uwezo wa kuongoza nchi awe Mkongo au nani sisi hayatuhusu
Sas huyu Mgiriki wa nini huko Zaire? Hawa ni vibaraka wa kudumuMoïse Katumbi alizaliwa na mama Mkongo na baba Mgiriki aliye fahamika kwa jina la Nissim Soriano, aliyetorokea Rhodes kati ya vita viwili vya dunia ilipotawaliwa na Fascist Italy. Badae alikuja kuhamia Katanga, karibu na Ziwa Moero.
Fayulu Yuko wapi Sasa?Wacongomani wataamua kupitia sanduku la kura...
Japo kama kura zingekuwa zinaheshimiwa huko Drc, Fayulu ndio angepaswa kuwa Rais.
mtu chake
[emoji16][emoji16]Anaweza kushindana ila sema mshindi ndio hajulikani,Hadi baada ya shindano.
Yule mzee alikimbia vita na akahamia katanga kama mvuviSas huyu Mgiriki wa nini huko Zaire? Hawa ni vibaraka wa kudumu
Mobutu ambaye hana asili ya Ubelgiji au damu ya nje aliifanyia nini Congo zaidi ya kuwaibia na kuwaua wote waliojaribu kuongea ukweli, Katumbi ni Mcongoman halisi ana haki zote za kugombea kuwa Raisi, huu ubaguzi wa kishamba utawamaliza watu msio na akili kama weweKama mzazi mmoja mbeligiji wasimpe nchi,Congo imeingizwa Sana na vibaraka na watu wenye damu za nje ya congo
Kwani ndio Saidoo mwenyewe au Mayele😂😂😂Moise Katumbi ni kiongozi mwenye nguvu sana sio nguvu ya kupigana nguvu ya akili
Mwaka 2015- 2017 Joseph kKbila aliona njia bora ya kumshinda Moise Katumbi ni kumpa kesi mbaya tu
Mwaka huu wanajaribu kumchafua lakini wapi
MUNGU akisema ndio hakuna wa kusema hapana
Sasa wamebaki kusema Moise Katumbi sio mkongomani wa baba na mama, hayo ni yenu
Sisi tunachohitaji ni kiongozi mwenye uwezo wa kuongoza nchi awe Mkongo au nani sisi hayatuhusu
umemmiss ?Yu wapi Joseph Kabila
una nationale carde ya kupigia kura?H
tu ambaye hana asili ya Ubelgiji au damu ya nje aliifanyia nini Congo zaidi ya kuwaibia na kuwaua wote waliojaribu kuongea ukweli, Katumbi ni Mcongoman halisi ana haki zote za kugombea kuwa Raisi, huu ubaguzi wa kishamba utawamaliza watu msio na akili kama wewea
Haijalishi Mobutu alifanya nini,kumpa mtu nchi aliyechanganya damu na wakoloni na waporaji wanaotutia matatizoni ni kukosa akili zaidi
Mi mtanzaniauna nationale carde ya kupigia kura?
hahahahahaMi mtanzania