fees za posta

fees za posta

Messier 31

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2017
Posts
477
Reaction score
1,205
nataka kuagiza vitu toka aliexpress ila bado sijafungua anuani yangu. naomba kwa anaye juua ada za posta anijuze
 
nataka kuagiza vitu toka aliexpress ila bado sijafungua anuani yangu. naomba kwa anaye juua ada za posta anijuze
Mwazoni ni kama 50,000+ ila baada ya hapo malipo kwa mwaka ni madogo sana.... Nakushauri kama unaharaka utumie anuani ya mtu mwenye box tayari huku ukifuatilia lakwako.
 
Mwazoni ni kama 50,000+ ila baada ya hapo malipo kwa mwaka ni madogo sana.... Nakushauri kama unaharaka utumie anuani ya mtu mwenye box tayari huku ukifuatilia lakwako.
dah!, asante mkuu, itabidi nitafute kwanza mwenye box maana mzigo ni wa haraka
 
Miye niliagiza saa ya mkononi Lemfo smartwatch ya kama usd 47 tar 19/6/2019 nimeipokea tar 5/7/2019,posta nimelipa Tsh 1500 tu.
 
Back
Top Bottom