feedback ya kikao na mkurya


hilo hapo kwenye bold hata mimi nimelitafakari sana. lakini hata akifanya hivyo ipo siku ataumbuka tu, all in all hapa hapanifai tena
 
cc Munkari
 
Last edited by a moderator:
DEMBA, chunga usiongezwe kwenye list, "jirani"!!!!:A S 39:
 
Last edited by a moderator:
hivi hizi ngo's mbona sinaishia mijini tu. yaan huko vijijini wanahitaji elimu sana. kuna mila zao nyigi tu si za kiungwana.

Hizo NGO'S nyingi ni miradi ya "vigogo" ambayo lengo lake kuu si kumkwamua mwananchi bali kuchumia matumbo yao. Wanawake wao wenyewe wanaotendewa ukatili huo wanapaswa kusoma kwa bidii na kuanza toa elimu kwa ndugu na jamaa zao huko vijijini.
 
daaah nchi hii bana. lakini tutafika tu. wanawake huko naona wanaishi ishi tu, sijui kama wanaona raha ya maisha
Hizo NGO'S nyingi ni miradi ya "vigogo" ambayo lengo lake kuu si kumkwamua mwananchi bali kuchumia matumbo yao. Wanawake wao wenyewe wanaotendewa ukatili huo wanapaswa kusoma kwa bidii na kuanza toa elimu kwa ndugu na jamaa zao huko vijijini.
 


bora umwambie wewe ndo ataelewa
 
Bora hata ulivokataa 'kutengua kauli' kwa bibie wa nairobi, hapo si ajabu huyo mbaba amekudanganya.... who knows, mana hiyo ni tabia yao ya asili, usije jikuta wajiingiza kwenye dhambi ya uwongo usiokusudiwa.
Hongera kwa ujasiri wa kuibuka kwenye kikao mamiiiiii...
 
hahahahahahaha.....mliishia kwenye stori tu kweli??? hamkupoozana
 
Last edited by a moderator:

ahsante mpenz
 
Hongera kwa kuyamaliza salama . Uamuzi wa kuhama ni wa busara zaidi .
 
DEMBA ulikua unanipa mawazo kweli, nilikua nawaza nn hatma yk, ww siunajua shemeji yako mkurya? kanikosakosa kunitoa nundu mara kadhaa!! Nilijua hii ni zamu yako, bahati yk angekun'goa meno ya sting room. chezea mkuria ww.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…