Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,467
- 65,790
Kumekuwa na maneno mengi kuhu hii IOS 26 leo mimi nika amua kujitoa mwanga nime fanya update up now ipo vizuri napiga simu na pokea sms haina shida zaidi naona simu ime kuwa nyepesi zaidi uki gusa imoo
Huu ndio muone kano wake
Hapo kama umeingia jf muonekano wa kawaida ni huu hapa
Huu ndio muone kano wake
Hapo kama umeingia jf muonekano wa kawaida ni huu hapa