Fedheha iliyonikuta ukweni nafikiria kutokanyaga tena

Naona watu wanahangaika kumsimanga kubwa jinga mzee wa pumba wanasahau kulielewa jina lake na avatar yake
 
Kweli.. wewe kubwa jinga... wasaidie na kuzika.. teh teh teh
 
Ikubali hali yako wajibika msibani kama kwenu usiweke mawazo upon ukweni.Usiache kufika hapo hata kama hali kiuchumi itakuwa mbaya kiasi gani.Fanya shughuli zako kwa bidii zote huku ukimwomba Sana Mola wetu mlezi akubariki.
 
shida ni pale mnapokataa kukubali uhalisia wa maisha
taka usitake mwenye maisha ya juu ndie anae angaliwa hasa kwa familia zetu za kibongo

nijuavyo wala usinung'unike manake Mungu yupo na anaona na maisha ni folen siku zote.
wa kwanza atakuwa wa mwisho
 
Pole sana mkuu. Hiyo kweli ni fedhea.

Learn to let go. Japo ni process ngumu na inayochukua mda,ila jitahidi kupotezea tu.

Or unaweza ukaongea na mkeo kuhusu ilo swala just kuclear air.
 
mmmmmmmmmh hii imetungwa hapa hapa.
 
nimechekea kama mazuri lkn si kitu cha kucheka. Kweli ni fedheha! Hizo hasira uzitumie kujiongezea kipato.
 
Pambana,ikiwa una lalamika tuu haisaidi,jitume trust me ukiwa busy na kutafuta pesa hutoona hivi vijimambo sababu utakua busy na kuangalia mambo yako...........
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…