Fedha zetu matopeni tena?

Fedha zetu matopeni tena?

Hii nchi hakuna kesi ya serikali ikashinda.

Hao wanasheria sijui mawakili ni kama wanakomoa.

Wauze tu kila kitu.

Sembe leo kilo ni 2000, mchele kilo 3000, maharage kilo 3600. Maji hakuna kabisa, umeme mgao mkali.

Tumeshapoteza mwelekeo.
Wanakua wamekubaliana
 
Hii nchi hakuna kesi ya serikali ikashinda.

Hao wanasheria sijui mawakili ni kama wanakomoa.

Wauze tu kila kitu.

Sembe leo kilo ni 2000, mchele kilo 3000, maharage kilo 3600. Maji hakuna kabisa, umeme mgao mkali.

Tumeshapoteza mwelekeo.
Walamba asali hata hawajali wao wanaendelea kulamba tu.......
 
Walamba asali hata hawajali wao wanaendelea kulamba tu.......
giphy.gif
 
Back
Top Bottom