Fedha za jimbo ni kwa ajili ya maendeleo

Mwanajamii

JF-Expert Member
Mar 5, 2008
7,063
68
Gazeti la mwananchi la 3 Nov. 2011 liliandika taarifa za Lema kutaka kuwatoa gerezani wafungwa waliofungwa kutokana na kushindwa kulipa faini kwa kuwalipia kupitia fedha za mfuko wa jimbo.

Hilo laziwezi kukubalika hata kidogo, Fedha za jimbo ni kwa ajili ya maendeleo ya jimbo na si kuwalipia faini wahalifu. Mambo ya ajabu kweli haya, nchi hii tunakwenda wapi? Kama anataka kuwalipia faini wafundwa hao ni bora atumie fedha zake mwenyewe na za Chama chake.

Aidha sina shaka Serikali itafanya uchunguzi wa kina ili kujua hao wafungwa wanaotaka kulipiwa na LEMA ili watoke gerezani wana uhusiano gani na mbunge huyu na walifungwa kwa makosa gani. Hata kama sheria itawaruhusu kutoka gerezani, basi wafuatiliwe kwa karibu ili wasisababishe matatizo miongoni mwa wananchi kwa vile haijulikani nini wamekubaliana na mbunge huyo pindi watakapokuwa uraiani.

Nitakuwa mtu kwanza hapa Arusha kwenda mahakamani endapo fedha kwa ajili ya maendeleo ya jimbo langu kuwalipia faini wafungwa eti kwa sababu tu ya kumpatia LEMA umaarufu.
 
Gazeti la mwananchi la 3 Nov. 2011 liliandika taarifa za Lema kutaka kuwatoa gerezani wafungwa waliofungwa kutokana na kushindwa kulipa faini kwa kuwalipia kupitia fedha za mfuko wa jimbo.

Hilo laziwezi kukubalika hata kidogo, Fedha za jimbo ni kwa ajili ya maendeleo ya jimbo na si kuwalipia faini wahalifu. Mambo ya ajabu kweli haya, nchi hii tunakwenda wapi? Kama anataka kuwalipia faini wafundwa hao ni bora atumie fedha zake mwenyewe na za Chama chake.

Aidha sina shaka Serikali itafanya uchunguzi wa kina ili kujua hao wafungwa wanaotaka kulipiwa na LEMA ili watoke gerezani wana uhusiano gani na mbunge huyu na walifungwa kwa makosa gani. Hata kama sheria itawaruhusu kutoka gerezani, basi wafuatiliwe kwa karibu ili wasisababishe matatizo miongoni mwa wananchi kwa vile haijulikani nini wamekubaliana na mbunge huyo pindi watakapokuwa uraiani.

Nitakuwa mtu kwanza hapa Arusha kwenda mahakamani endapo fedha kwa ajili ya maendeleo ya jimbo langu kuwalipia faini wafungwa eti kwa sababu tu ya kumpatia LEMA umaarufu.
EPA, RICHMOND, DOWANS etc ni fedha za nani? za kazi gani! mbona hujaenda mahakamani?!! EPA imeibiwa tena fanya hivyo au unafikiria kwa masaburi!!!
 
Gazeti la mwananchi la 3 Nov. 2011 liliandika taarifa za Lema kutaka kuwatoa gerezani wafungwa waliofungwa kutokana na kushindwa kulipa faini kwa kuwalipia kupitia fedha za mfuko wa jimbo.

Hilo laziwezi kukubalika hata kidogo, Fedha za jimbo ni kwa ajili ya maendeleo ya jimbo na si kuwalipia faini wahalifu. Mambo ya ajabu kweli haya, nchi hii tunakwenda wapi? Kama anataka kuwalipia faini wafundwa hao ni bora atumie fedha zake mwenyewe na za Chama chake.

Aidha sina shaka Serikali itafanya uchunguzi wa kina ili kujua hao wafungwa wanaotaka kulipiwa na LEMA ili watoke gerezani wana uhusiano gani na mbunge huyu na walifungwa kwa makosa gani. Hata kama sheria itawaruhusu kutoka gerezani, basi wafuatiliwe kwa karibu ili wasisababishe matatizo miongoni mwa wananchi kwa vile haijulikani nini wamekubaliana na mbunge huyo pindi watakapokuwa uraiani.

Nitakuwa mtu kwanza hapa Arusha kwenda mahakamani endapo fedha kwa ajili ya maendeleo ya jimbo langu kuwalipia faini wafungwa eti kwa sababu tu ya kumpatia LEMA umaarufu.

masaburi at work
 
Back
Top Bottom