Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,045
- 10,329
Wakuu habari zenu,
Nimetafakari kwa muda suala la kashfa ya escrow account ambalo lilitokea mwaka Jana.
Nimejiuliza maswali kadhaa yasiyokuwa na majibu. Ilisemekana kwamba fedha hizo hazikuwa za Umma sawa nakubaliana na maelezo ya serikali.
Ninachojiuliza waliopata mgao wa fedha hizi kupitia Benki ya Kanisa Katoliki ya Mkombozi majina yao yote yalikuwa published kwa umma cha ajabu Kiasi cha fedha kilichobaki kati ya bilioni 350 na ushei zilizokwapuliwa mpaka leo hatujawahi kujuwa walilipwa wakina nani.
Naomba mnisaidie wakuu kwa mwenye kujuwa je Fedha hizo zililipwa wakina nani? Si vibaya kufahamu hata kama hazikuwa fedha za Umma.
Naomba kuwasilisha.
Nimetafakari kwa muda suala la kashfa ya escrow account ambalo lilitokea mwaka Jana.
Nimejiuliza maswali kadhaa yasiyokuwa na majibu. Ilisemekana kwamba fedha hizo hazikuwa za Umma sawa nakubaliana na maelezo ya serikali.
Ninachojiuliza waliopata mgao wa fedha hizi kupitia Benki ya Kanisa Katoliki ya Mkombozi majina yao yote yalikuwa published kwa umma cha ajabu Kiasi cha fedha kilichobaki kati ya bilioni 350 na ushei zilizokwapuliwa mpaka leo hatujawahi kujuwa walilipwa wakina nani.
Naomba mnisaidie wakuu kwa mwenye kujuwa je Fedha hizo zililipwa wakina nani? Si vibaya kufahamu hata kama hazikuwa fedha za Umma.
Naomba kuwasilisha.