Gamba la Chuma
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,243
- 346
Kashfa ya uporaji wa fedha za wananchi kupitia bili za Luku via Tanesco hadi BOT Escrow ac bado inasumbua vichwa wananchi na wahisani.
Wananchi wamepata uelewa wa moja kwa moja kwa lugha nyepesi ya kiswahili kuwa zile fedha za escrow zimetoka mifukoni mwao kwa kulipia umeme hewa, wa kilanguzi kupitia Tanesco na hatimaye kuhifadhiwa pale BOT zikiitwa escrow monies kwa amri ya mahakama.
Suala hili litakuwa gumu kwa kuwa ukweli uko wazi kwa wananchi na wahisani !
Wananchi wamepata uelewa wa moja kwa moja kwa lugha nyepesi ya kiswahili kuwa zile fedha za escrow zimetoka mifukoni mwao kwa kulipia umeme hewa, wa kilanguzi kupitia Tanesco na hatimaye kuhifadhiwa pale BOT zikiitwa escrow monies kwa amri ya mahakama.
Suala hili litakuwa gumu kwa kuwa ukweli uko wazi kwa wananchi na wahisani !
Kwa kuwa Capacity Charge ilikuwa Over calculated. Na kwakuwa capacity charge ina lipwa na wananchi kupitia manunuzi ya umeme. Hivyo wateja wa Tanesco ambao ni wananchi wa TZ walitozwa zaidi.
Tunataka capacity charge mpya ikokotolewe na kila mwananchi arudishiwe umeme wenye thamani ya fedha iliyotozwa zaidi tangu IPTL ilipoingia.