Gamba la Chuma
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,243
- 346
- Thread starter
- #21
Jk kashamaliza kazi yake ya kutetea wezi. Watanzania tulie tu!
Dah, ni hali ya kusikitisha
Jk kashamaliza kazi yake ya kutetea wezi. Watanzania tulie tu!
Tupe uchambuzi wako yatosha.Vinginevyo tutakuhesabu kama mnufaika wa wizi mkubwa huu.Nadhani we mjinga,si unalipa umeme?capacity charge inaongezwa kwenye bili zako we una ng'aa macho una wateteaUnaonekana huna unachojua kwenye hili jambo ushauri wangu kwako ungefanya hii biashara haya mambo ya uchambuzi unatia aibu sana.
Kwa kuwa Capacity Charge ilikuwa Over calculated. Na kwakuwa capacity charge ina lipwa na wananchi kupitia manunuzi ya umeme. Hivyo wateja wa Tanesco ambao ni wananchi wa TZ walitozwa zaidi.
Tunataka capacity charge mpya ikokotolewe na kila mwananchi arudishiwe umeme wenye thamani ya fedha iliyotozwa zaidi tangu IPTL ilipoingia.
Unaonekana huna unachojua kwenye hili jambo ushauri wangu kwako ungefanya hii biashara haya mambo ya uchambuzi unatia aibu sana.
Kaka humu JF kuna watu kazi yao ni kutetea kila kitu kisicho na mantiki kwa Taifa kana kwamba wao wanakaa Newyork! Wapo kuaminisha watu kuwa kinyesi hakina harufu wakati siyo kweli!Yaaani nimekupa maneno na matusi yote unayoyajua nimeogopa kuondoka kwa kuogopa ban
IPTL wamezipata wapi ?
Wala sio za umma, ni za wakubwa na IPTL Sis zishatoka kwetu sio zetu tena. Kwanza Rais kazunguka sana, alitakiwa atumie dk 20 kueleza kuwa pesa za kwo na IPTL.Kama hukuweza kumwelewa Rais kichwa chako sawa na kile cha sugu anayejua kupigana tu basi hili jambo jepesi na ukweli wake uko wazi kabisa hutaki unaacha zile pesa sio mali ya umma ni pesa za iptl mwisho.
Wala sio za umma, ni za wakubwa na IPTL Sis zishatoka kwetu sio zetu tena. Kwanza Rais kazunguka sana, alitakiwa atumie dk 20 kueleza kuwa pesa za kwo na IPTL.
JK ameeleweka vizuri sana kwa watu ambao wanauwezo wa kufikiri na kutafakari kwa kina, pamoja na maoni yake aliyoyatoa lkn bado alijielekeza ktk ripoti ya CAG ambaye alimnukuu akiwaambia TANESCO kuwa fedha zilizoko ktk A/c ya Escrow si zao(TANESCO ), hiyo inamaanisha fedha zilikuwa ni za IPTL, swali la kujiuliza ni kwa nini TANESCO waliendelea kulipa kiwango ambacho waliamini kilikuwa overcharge? Utata, leo unasema fedha za umma! Haiwezekani kabisaaa
Unaonekana huna unachojua kwenye hili jambo ushauri wangu kwako ungefanya hii biashara haya mambo ya uchambuzi unatia aibu sana.
Unaonekana huna unachojua kwenye hili jambo ushauri wangu kwako ungefanya hii biashara haya mambo ya uchambuzi unatia aibu sana.
Kashfa ya uporaji wa fedha za wananchi kupitia bili za Luku via Tanesco hadi BOT Escrow ac bado inasumbua vichwa wananchi na wahisani.
Wananchi wamepata uelewa wa moja kwa moja kwa lugha nyepesi ya kiswahili kuwa zile fedha za escrow zimetoka mifukoni mwao kwa kulipia umeme hewa, wa kilanguzi kupitia Tanesco na hatimaye kuhifadhiwa pale BOT zikiitwa escrow monies kwa amri ya mahakama.
Suala hili litakuwa gumu kwa kuwa ukweli uko wazi kwa wananchi na wahisani !
View attachment 213763
View attachment 213764
mkuu huo ndio ukweli na sissi tunadai hela nyingi sana tanesco. Na sissi turudishiwe baada ya recalculation, wapi ewura ?
Wananchi tunapigika sana na hili suala, yaaani hela zooote hizi from Richmond-Escrow zinatoka mifukoni mwetu, tunaongezewa bei ktk kununua umeme iwe wa luku au wa kusoma kwenye mita then kina JK wanatoa order kwamba hela ikusanywe pale ktk Escrow acc at last wanakuja kugawana.
Rahisi anahalalisha wizi kwa kutetea wezi ndani ya nchi yake kwa kuwanyonga na kuwaning'iniza na kuwakamua wananchi wake ili yeye na genge lake waneeemeke na fedha.
Hii inauma sana.
Tuliyempa dhamana ya kuongoza hii nchi anasumbuliwa na ile Circle ya UMASIKINI, UJINGA NA MARADHI otherwise mtu mwenye akili timamu huwezi ukawa MJINGA kiasi hiki ukaleta UMASIKINI wako kwa wananchi kwasababu ya MARADHI yako ya Akili na Mwili wako.
Wananchi gani? Kina siye tunaocheza na mtandao? Acha sifa basi, unajua huo siyo ukweli. Kwetu sisi, "WACHUKUE FASTA FASTA"
Wasipochukua tunawaita mafala.
Madhara yaliyoikuta Zimbabwe unayajua
Kweli mkubwa!
Wananchi wanapaswa kujua kuwa fedha zilizogawanwa kwenye Lumbesa, Sandarusi nk zimetoka mifukoni mwao kupitia bili za umeme