MED Org
Member
- Mar 24, 2011
- 8
- 0
Serikali imesema kuendelea kuwepo kwa udanganyifu wa mitihani kunatokana na kushuka kwa maadili ndani ya jamii ambapo walimu, wazazi na wasimamizi wa mitihani hufanya hivyo ili kusaidia upatikanaji wa alama za juu kwa watahiniwa. Je wana JF; hakuna namna ya kusaidiana kukabiliana na tatizo hili kwa sisi wenyewe?