Fedha ya mkopo kwa wanafunzi hucheleweshwa katika baadhi ya vyuo (Mfano IFM)

herikipaji

JF-Expert Member
Aug 23, 2016
1,198
1,345
Nimefuatilia na kupata kufahamu kuwa baadhi ya taasisi kwa elimu ya juu bado wanafanya michezo mibaya kwa fedha ya kujikimu ya wanafunzi.

Wako watumishi wa hizo taasisi sio waaminifu na wanachelewesha kwa makusudi kabisa kutoa hizi fedha kwa wanafunzi kwa sababu wanazojua wenyewe.

Hizi fedha ni sawa na kaa la moto ukichezea lazima utaungua na kuishia kupata maumivu makali.

Institute of Finance Management - IFM hapo wana huu mchezo wako wanafunzi wanaosainishwa na wanalazimika kusubiri hadi mwezi mzima bila kupata hizi fedha hawa wale wasiotumia alama za vidole au fingerprint.

Hii tabia sio nzuri na mkiendelea mtapata kuwajibishwa na msije kujuta hapo baadaye hao wanafunzi wanaishi kwa shida sana.

Fedha imeshatolewa na Bodi ya Mikopo - HESLB mapema sana na wahusika wameshasaini mnachelewesha na mnakaa na hizo fedha muda mrefu ili iweje?
 
Wana shauriwa watumie CRDB. ila wale wa NMB ndo upata sana i shida




Inshort waache ubishi na wafate ushauri
 
Nimefuatilia na kupata kufahamu kuwa baadhi ya taasisi kwa elimu ya juu bado wanafanya michezo mibaya kwa fedha ya kujikimu ya wanafunzi.

Wako watumishi wa hizo taasisi sio waaminifu na wanachelewesha kwa makusudi kabisa kutoa hizi fedha kwa wanafunzi kwa sababu wanazojua wenyewe.

Hizi fedha ni sawa na kaa la moto ukichezea lazima utaungua na kuishia kupata maumivu makali.

Institute of Finance Management - IFM hapo wana huu mchezo wako wanafunzi wanaosainishwa na wanalazimika kusubiri hadi mwezi mzima bila kupata hizi fedha hawa wale wasiotumia alama za vidole au fingerprint.

Hii tabia sio nzuri na mkiendelea mtapata kuwajibishwa na msije kujuta hapo baadaye hao wanafunzi wanaishi kwa shida sana.

Fedha imeshatolewa na Bodi ya Mikopo - HESLB mapema sana na wahusika wameshasaini mnachelewesha na mnakaa na hizo fedha muda mrefu ili iweje?
Una uhakika gani zinafika mapema?
 
Wana shauriwa watumie CRDB. ila wale wa NMB ndo upata sana i shida




Inshort waache ubishi na wafate ushauri
Wote wanapata hii shida isipokua wanaotumia fingerprint system hapa hawajui kufanya yao.
 
Una uhakika gani zinafika mapema?
Hizo fedha sikuhizi bodi wanapeleka vyuoni kwa wakati mwanzoni tu muhula unapoanza wanaochelewa ni wale watumishi wanaohusika na mikopo wa chuo husika.

Na hata wanaotumia fingerprint wakisaini wanawekewa haraka baada tu ya kusaini hapa wanakua hawapati loop hole ya kufanya mission zao sasa wale wasiosajiliwa kwa fingerprint ndiyo wanapata cha mtemakuni.
 
Nimefuatilia na kupata kufahamu kuwa baadhi ya taasisi kwa elimu ya juu bado wanafanya michezo mibaya kwa fedha ya kujikimu ya wanafunzi.

Wako watumishi wa hizo taasisi sio waaminifu na wanachelewesha kwa makusudi kabisa kutoa hizi fedha kwa wanafunzi kwa sababu wanazojua wenyewe.

Hizi fedha ni sawa na kaa la moto ukichezea lazima utaungua na kuishia kupata maumivu makali.

Institute of Finance Management - IFM hapo wana huu mchezo wako wanafunzi wanaosainishwa na wanalazimika kusubiri hadi mwezi mzima bila kupata hizi fedha hawa wale wasiotumia alama za vidole au fingerprint.

Hii tabia sio nzuri na mkiendelea mtapata kuwajibishwa na msije kujuta hapo baadaye hao wanafunzi wanaishi kwa shida sana.

Fedha imeshatolewa na Bodi ya Mikopo - HESLB mapema sana na wahusika wameshasaini mnachelewesha na mnakaa na hizo fedha muda mrefu ili iweje?
Me yalinikuta haya 1yr....nliishia kukopa tuuu. But soon nkajisajiri kwa fingerprint mambo yakawa safiii but huo ujinga ni kweli upo
 
Back
Top Bottom