mak89
JF-Expert Member
- Sep 21, 2012
- 1,072
- 914
Nimeona hapa ndipo mahala pekee pakuweka naweza pata habari za ndani kidogo,
Nimekuwa na maswali mengi sana bila jibu la uhakika
1. Hivi ni kwanini US hawana bank ya taifa kama B.O.T kwa hapa Tanzania?
2.Nani ni mmiliki wa federal reserve bank?
3.Nani anaye appoint kiongozi wa benki hiyo?
4.Je ni jitihada gani maraisi wa marekani wanafanya kuanzisha national bank?
5.Je kuna kuna uhusiano gani kati ya vifo ya maraisi wa marekani na hii federal reserve bank kama A.Lincoln na J.F. Kennedy?
6. Je global economic recession was it planted by federal reserve bank?
Wanabodi karibuni tujulishane, popote nitakapo kuwa nimekosea nirekebishwe na wasilisha.
Nimekuwa na maswali mengi sana bila jibu la uhakika
1. Hivi ni kwanini US hawana bank ya taifa kama B.O.T kwa hapa Tanzania?
2.Nani ni mmiliki wa federal reserve bank?
3.Nani anaye appoint kiongozi wa benki hiyo?
4.Je ni jitihada gani maraisi wa marekani wanafanya kuanzisha national bank?
5.Je kuna kuna uhusiano gani kati ya vifo ya maraisi wa marekani na hii federal reserve bank kama A.Lincoln na J.F. Kennedy?
6. Je global economic recession was it planted by federal reserve bank?
Wanabodi karibuni tujulishane, popote nitakapo kuwa nimekosea nirekebishwe na wasilisha.