PostGE2025 Februari 1, 2026, BBC kuja na uchunguzi mpya juu ya Mateso na mauaji ya Tanzania, kabla na wakati wa Uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025

PostGE2025 Februari 1, 2026, BBC kuja na uchunguzi mpya juu ya Mateso na mauaji ya Tanzania, kabla na wakati wa Uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Bawabu wa pili

Senior Member
Joined
Nov 14, 2025
Posts
147
Reaction score
432
Idara ya BBC Africa Eye imetangaza kuja na uchunguzi mpya maalum unaoitwa “STATE OF FEAR” unaohusu matukio ya kikatili na mauaji yaliyotokea mwaka jana october 29, 2025 nchini Tanzania wakati wa uchaguzi mkuu. Kupitia taarifa iliyosambazwa kwenye mitandao ya kijamii, BBC Africa Eye imesema uchunguzi huo utaanza kurushwa Jumatatu ijayo. Taarifa hiyo imeambatana na kauli mbiu isemayo, “Nothing stays hidden forever” ikidokeza kufichuliwa kwa mambo yaliyokuwa yamefichwa.

Unadhani itakuaje? na italeta mabadiliko yoyote?
 
Idara ya BBC Africa Eye imetangaza kuja na uchunguzi mpya maalum unaoitwa “STATE OF FEAR” unaohusu matukio ya kikatili na mauaji yaliyotokea mwaka jana october 29, 2025 nchini Tanzania wakati wa uchaguzi mkuu. Kupitia taarifa iliyosambazwa kwenye mitandao ya kijamii, BBC Africa Eye imesema uchunguzi huo utaanza kurushwa Jumatatu ijayo. Taarifa hiyo imeambatana na kauli mbiu isemayo, “Nothing stays hidden forever” ikidokeza kufichuliwa kwa mambo yaliyokuwa yamefichwa.

Unadhani itakuaje? na italeta mabadiliko yoyote?
View attachment 3536627
Mamaeeee mambo yanaenda kuchangamka. Hii inabidi izinduliwe pale Mlimani City!
 
Idara ya BBC Africa Eye imetangaza kuja na uchunguzi mpya maalum unaoitwa “STATE OF FEAR” unaohusu matukio ya kikatili na mauaji yaliyotokea mwaka jana october 29, 2025 nchini Tanzania wakati wa uchaguzi mkuu. Kupitia taarifa iliyosambazwa kwenye mitandao ya kijamii, BBC Africa Eye imesema uchunguzi huo utaanza kurushwa Jumatatu ijayo. Taarifa hiyo imeambatana na kauli mbiu isemayo, “Nothing stays hidden forever” ikidokeza kufichuliwa kwa mambo yaliyokuwa yamefichwa.

Unadhani itakuaje? na italeta mabadiliko yoyote?
View attachment 3536627
Kwa hiyo kuanzia Jumatatu hiyo, BBC haitakuwa hewani kupitia local radios/tvs.

Vv
 
Kuanzia hy jtatu muda wa BBC kwenye radio na Tv tutakuwa tunapigiwa kwaya mwanzo mwisho😂

Kwa hiyo kuanzia Jumatatu hiyo, BBC haitakuwa hewani kupitia local radios/tvs.

Vv
Wanaolipia ving'amuzi inabidi wajiandae kufungua kesi nzito ya madai kama hilo litatokea. Nyakati za kuchekeana zimekwisha.
 
Back
Top Bottom