PostGE2025 Februari 1, 2026, BBC kuja na uchunguzi mpya juu ya Mateso na mauaji ya Tanzania, kabla na wakati wa Uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025

PostGE2025 Februari 1, 2026, BBC kuja na uchunguzi mpya juu ya Mateso na mauaji ya Tanzania, kabla na wakati wa Uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Sawa, wanakaribishwa. Uzuri safari hii uchunguzi wao wataufanya kwa utulivu kabisa kwani wale waharibifu na majambazi yaliyokuwa yanapora Mali za watu na kuharibu miundombinu Ili watangazaji wa BBC washindwe kupitia wamedhibitiwa kisawasawa.
Maskini hauelewi hata makala zinavyotengenezwa. Kwanza, ni nani kakudanganya kuwa sasa hivi waandishi wa habari wa nje wanaruhusiwa kuja kufanya uchunguzi wao kuhusu MO29?
 
Hiyo document ya safari hii ina vitu vizito pamoja na mawasiliano Kati ya RAISI, TISS na vikosi vya mauaji.
Kuna watu watakimbia nchi baada ya series mpya kutoka

Huu ni msumari wa mwisho kwenye jeneza la Samia hawezi kuchomoka kwenye safari ya the Hague
 
Sawa, wanakaribishwa. Uzuri safari hii uchunguzi wao wataufanya kwa utulivu kabisa kwani wale waharibifu na majambazi yaliyokuwa yanapora Mali za watu na kuharibu miundombinu Ili watangazaji wa BBC washindwe kupitia wamedhibitiwa kisawasawa.
Mtaandaa tena mawaziri wengine waende Vatican kwa ajili ya maombi?
 
Idara ya BBC Africa Eye imetangaza kuja na uchunguzi mpya maalum unaoitwa “STATE OF FEAR” unaohusu matukio ya kikatili na mauaji yaliyotokea mwaka jana october 29, 2025 nchini Tanzania wakati wa uchaguzi mkuu. Kupitia taarifa iliyosambazwa kwenye mitandao ya kijamii, BBC Africa Eye imesema uchunguzi huo utaanza kurushwa Jumatatu ijayo. Taarifa hiyo imeambatana na kauli mbiu isemayo, “Nothing stays hidden forever” ikidokeza kufichuliwa kwa mambo yaliyokuwa yamefichwa.

Unadhani itakuaje? na italeta mabadiliko yoyote?
View attachment 3536627
Unyakuo uko palepale. Ni lazima wawajibike huwezi kuua halafu ufukie, ujikaushe😭😭
 
Safi kabisa , ukweli ujulikane na dunia ifahamu nyang'au wa kizimkazi na uchafu wake.
kwahio umekaa ukawaza ukahisi kuna watu duniani wamekaa wanasubiria kuskia taarifa za bongo na hawana ishue zingine za kufanya sio 🤣
 
Back
Top Bottom