Mbona yupo sana? Wewe ndie utakuwa umepotea, au mwapishana majukwaa!Ni muda sasa, sijaona post zake humu jamvini, kama yupo, basi atujuze kama ni mzima, au mwenye taarifa zake pia si vibaya akitufahamisha kama ni buheri wa afya..
Mbona yupo sana? Wewe ndie utakuwa umepotea, au mwapishana majukwaa!