FC Barcelona wanaanza kazi leo!

FC Barcelona wanaanza kazi leo!

Nasikia mchana msamba hakucheza leo coz anauguza korodan injury....kw kw kw kw
 
mkuu pdidy acha majungu basi...ha ha ha ha ha ha


htheeeeteheeeee mkuuu ni utaniiiii tu lakini unauma
yaani ndani siku 4 wamefungwa

5-2
tuko pamoja mkuu ipo siku mtatajaribu kutufunga lakini si kufunga haaha aa
real oyeeeeeee barcelona juuu uuuuuuuuuu
 
Nasikia mchana msamba hakucheza leo coz anauguza korodan injury....kw kw kw kw

mkuu soma net

anafanyiwa opereshen ya ngiri kumbe hizi chenga nyingine zinaweza ibua vilivyojificha aiseee
 
karibu sana Petro sie wapenzi wa barca tuko apa leo
pamoja sana barca fans :rockon:
 
Last edited by a moderator:
Barca trafiki alikuwa anajitahidi kusimamisha FIAT linaloshuka mlimani akiwa katikati ya barabara na loh!,kumbe FIAT linaendeshwa na msomali keshakula mirungi hadi kasahau break ni ipi na accelerator ipi!akakanyaga vice versa bhana!..maskini...hadi sasa wameziokota nanihii tu hawajui kama ni za messi,xavi au iniesta!
 
Leo mnamo tarehe 2/3/2013 saa kumi na mbili jioni,FC Barcelona wataanza kazi yao.Baada ya kubezwa,kudharauliwa,kuonekana hawafai,kuonekana kiwango kimeporomoka na mambo yafananayo na hayo,Barcelona wataanza kuwaonesha kiwango chao halisi Real Madrid watakapopambana nao uwanjani Santiago Bernabeu.

Wakisheheni kila aina ya kipaji cha soka,Barcelona walipokea kebehi za kutosha baada ya kupigwa kumbo mara mbili na AC Milan kwa kuzabwa mabao 2-0 na baadaye kuonja shubiri ya mabao 3-1 kutoka kwa Real Madrid siku chache zilizopita. Leo wataanza kazi rasmi ya kuziba midomo ya wakejeli wao kwenye mechi ya La Liga.

Wataonesha kuwa wana plan B na hata C ya ushindi. Kila atakayekuja mbele yao,kuanzia na Real Madrid,atakumbana na kiwango cha hali ya juu cha Barcelona. Wapo watakaoishinda Barcelona na kuifurusha kwenye michuano mbalimbali.Lakini,wataishinda Barcelona ya kweli.

Muda wa kazi ni sasa!

NB: Mimi ni shabiki wa Yanga na AC Milan lakini ninayependezwa na kiwango cha Barcelona.

Real Madrid watakuwa uwanjani bila Ike Casias pamoja na Angel Di Maria wakati Barcelona watamkosa Xavi Hernandes

cc Gang Chomba Mourinho na wengineo

wameanzwa kazi wao sasa!
 
Wameanza kazi ya kulishwa p.umbu nne kwa ta.!ko
 
Back
Top Bottom