Fatuma Karume: Kwanini sanduku la kura linaletwa mbele yetu?

Pius J. Kiwarya Lema

JF-Expert Member
Nov 14, 2013
1,097
565
Huyu dada namkubali aliyasema haya siku nyingi pale Chanel ten TV anaitwa Fatuma Karume.

Moja ya kauli ninayoimbuka ni hii:

Niliamka asubuhi nikiwa najivunia Mzanzibari nikatoka kutimiza tendo la kidemokrasia la kuchagua kiongozi ninayemtaka ambayo ni haki yangu,Lakini Leo baada ya kupiga kura amani ya moyo imeondoka sijisikia tena kujivunia ule kuwa Mzanzibari kwanini?

Kwasababu kuna watu hawakufurahishwa na sauti za sanduku la kura! Mimi nauliza!

Kwanini sanduku la kura linaletwa mbele yetu!
 
1452159401437.jpg

Huyu Sister Namkubali
Aliyasema haya siku nyingi pale Chanel ten TV
Anaitwa Fatuma Karume
Moja ya kauli ninayoimbuka ni hii:

Niliamka asubuhi Nikiwa
najivunia Mzanzibari nikatoka

kutimiza tendo LA kidemokrasia LA kuchagua kiongozi Ninayemtaka ambayo ni haki yangu,

Lakini Leo baada ya kupiga kura amani ya moyo imeondoka

sijisikia tena kujivunia ule
Kuwa mzanzibari kwanini ?

Kwa sababu kuna watu hawakufurahishwa Na sauti za sanduku LA kura !
Mimi nauliza !

Kwanini sanduku LA kura linaletwa mbele yetu !
 
Last edited by a moderator:
Kuna watu walisikika kwenye majukwaa ya kampeni wakisema "ZANZIBAR ILIPATIKANA KWA MAPINDUZI, HAIWEZEKANI IKAACHIWA KWA SANDUKU LA KURA"

Nadhani marudio haya ni kutimiza hiyo kauli hapo juu.
 
Sio kwenye kampeni tu hata Binge LA katiba Asha Bakari alisimama kwenye

Bunge LA katiba akamwambia Jussa ( cuf) zazibar ilipatikana kwa mapaga Na Marungu

ile nchi ahawatoi kwa makaratasi labada wapindue Na akamwambia lakini najua uwezo wa kupindua hawana !!

Hakuna aliyemwambia afute MANENO Yale mpaka leo !!

Halafu hawa Viongozi wetu Dini wamekaa kimya

Yesu Kristo turehemu Tanzania ubaguzi usitutafune !!
 
Sio kwenye kampeni tu hata Binge LA katiba Asha Bakari alisimama kwenye

Bunge LA katiba akamwambia Jussa ( cuf) zazibar ilipatikana kwa mapaga Na Marungu

ile nchi ahawatoi kwa makaratasi labada wapindue Na akamwambia lakini najua uwezo wa kupindua hawana !!

Hakuna aliyemwambia afute MANENO Yale mpaka leo !!

Halafu hawa Viongozi wetu Dini wamekaa kimya

Yesu Kristo turehemu Tanzania ubaguzi usitutafune !!
It is absolutely true.
Watanzania wengi tulimsikia huyo mama anayetambulika kwa jina la Asha Bakari akitamba kule kwenye Bunge Maalum la Katiba mwaka 2014, lililokuwa na wabunge wa CCM watupu kuwa Zanzibar kamwe haiwezi kuja kutolewa kwa vijikaratasi vya kupigia kura.
Aliyatamka maneno hayo huku ukumbi mzima wa wabunge wa CCM wakimshangilia kwa vifijo na nguvu zao zote huku Spika wa Bunge hilo Samuel Sitta naye 'akikodoa' tu macho yake bila hata kuthubutu kumwamrisha huyo mama ayafute maneno yake hayo ya hatari sana kwa usalama wa Taifa letu!
Nadhani hata Profesa Lipumba kuamua kuwaita wanaccm kuwa ni kikundi kinachofanana na watu wa Intarahamwe, alikuwa yuko sahihi sana.
 
najua seifu ndo chanzo cha mafanikio au chanzo cha kuharibu akikubali kununuliwa seif akuna mwingine aliyeko nyuma ake atapaza sauti msimamo wa seif ni muhim sn kuliko kitu chochote kingine ktk hili swala lkn vyanzo vnaonesha keshalegeza
 
Hili la zanzibar ndilo limefichua uchu na ulafi wa madaraka walionao viongozi wa ccm, wamedhihirishia ulimwwengu kuwa demokrasia inayozungumzwa nchini ni kiini macho tu.
 
Seif lazima asimamie maneno yake kuwa uchaguzi haurudiwi Zanzibar, avumilie virungi kadhaa vimpitie ili mambo yawe sawa
 
kinachofanyika Zanzibar ni ‘ukoloni’ wa watu weusi dhidi ya watu weusi ambao unawakosesha Wazanzibari haki yao msingi ya kumchagua kiongozi wanayemtaka.
Fatuma Karume.
 
Alafu Shein bila aibu anatoka hadharani na kujinasibu kuwa yeye ni rais halali wa Zanzibar, anayepinga aende mahakamani tena zilizopo Zanzibar ,ndio zenye mamlaka pekee ya kusikiliza kwa matamshi kama yale alifaa ahojiwe na Jamhuri ya muungano, kuna wakati enzi za Salmin Amour ,mtakumbuka alikuwa tayari kubadili katiba ili abakie madarakani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom