Fatma Karume, kubali umeteleza

Wanafiki wengi sana. Unakuta mtu anakgonga tigo ya mwanamke lkn hapa anakemea ushoga. Upuuzi mtupu
WENGINE WANAJISIFU HUMU KILA SIKU JINSI WANAVYOFAIDI TIGO ZA WAKE ZAO.

LAKINI LINAPOKUJA SWALA LA USHOGA WANAKUWA VIMBELEMBELE KULETA HEKAYA ZA SODOMA NA GOMORA.

DUH! Hahahahaahah
 
UMEELEZA HII KITU KITAALAMU SANA MKUU ...NA NI WACHACHE SANA WANAOWEZA KUKUELEWA.

LAKINI MANGUMBARU WENGI HUMU WATAISHIA KULALAMA TU KAMA MAJUHA.
 
hata muuaji anapewa wakili na jamhuri amtetee na sometime huyo muuaji anakuwa anashinda kesi
je,unafahamu miiko na tamaduni za mwanasheria???
ina maana asimtetee mtu kisa yupo kinzani na jamii yake?
ingekuwa hivyo hata wakamatwa na madawa ya kulevya na wauajj wasingekuwa wanapewa/wanaruhusiwa kuwa na mawakili
fatma yupo sahihi sanaaaaaaaaaaa
 
Pamoja na kwamba siupendi ushoga but nakubaliana na Shangazi, watu wazima wakiamua kufanya mambo yao chemba let them..
Wangeyaacha huko huko chemba wasingefuatwa na mtu. Hawa wanayaanika kwenye mitandao ya kijamii. Jambo ukishaliweka wazi shuruti lijadiliwe ima kwa kupongezwa au kukosolewa.
 
Wangeyaacha huko huko chemba wasingefuatwa na mtu. Hawa wanayaanika kwenye mitandao ya kijamii. Jambo ukishaliweka wazi shuruti lijadiliwe ima kwa kupongezwa au kukosolewa.
KUYAANIKAJE KWENYE MTANDAO!?
 
Umempa ushauri mzuri sana aisee mwenyewe naona kateleza kwa hili limemshushia heshima yake ingekuwa kwa wazungu sawa na sio Tanzania. Hii TLS wamezidi siasa na uharakati wa vtu visivo na msingi.
 
Umeona eeeh sasa mbona kabadili gear angani tena
 
Mbona hivo vtu watu wanafanya faragha sasa kila mtu akijpost mtandaoni ifakuwaje in the name of uhuru wa mtu
Pamoja na kwamba siupendi ushoga but nakubaliana na Shangazi, watu wazima wakiamua kufanya mambo yao chemba let them..
 
TLS wamesema mtazamo wa shangazi sio wa chama ni mambo yake binafsi wao hawapo kwny hayo mambo ya mifirano
 
Umeandika hadithi ndeefu isiyo na kichwa.wewe hii ndiyo imekuumiza kuliko machafu yanayofanywa dunia hii pole.watu wanabakà wàtoto,mauaji ya kutisha ,watu kutekwà n.k..watu wenye akili wakakubaliana kufanya mambo ya kijinga wewe mwenye akili unatoa povu la nini.yako yanakuhusu.
 
Asilimia kubwa ya watu walio JF wengi angalau wamepiga piga umande,inasikitisha mtu mwanaume kabisa rejari anasuport eti kila mtu afanye yake na kumsupport shangazi? Elimu muda mwingine haiwezi kukukomboa inakuongezea ujinga,uhuru ni sawa ila siyo kwa Ushoga
 

Binafsi si tu kwamba amenisikitisha pekee bali ameniangusha sana kama siyo mno. Hata hivyo nayaheshimu ' Maamuzi ' yake kama ambavyo hata Yeye pia amekuwa akiyaheshimu yetu pia. Tuvumiliane tu pale ambapo tukiwa tunajenga Hoja ili kuonyesha Ukomavu wetu.
 
TLS wamesema mtazamo wa shangazi sio wa chama ni mambo yake binafsi wao hawapo kwny hayo mambo ya mifirano
hahahaa

ZEE LA VIFIRO NAKUONA TU UNAJITAHIDI SANA KUJITAKATIFUZA LEO KUPITIA MGONGO WA FATMA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…