Fatma Karume, kubali umeteleza

Fatma Karume, kubali umeteleza

Joined
Apr 18, 2012
Posts
95
Reaction score
213
Wewe ni moja ya wanawake wenye elimu nzuri. Mwanamke jasiri na mwenye uthubutu wa kuongea jambo lolote ukiliona halijakaa sawa. Elimu yako na sifa zingine lukuki ndizo zimekupa heshima kubwa kwenye jamii ya kitanzania.

Nafahamu wewe ni mwanasheria na una uelewa mpana kuhusu fani hiyo. Unajua kuwa sheria zipo kwa ajili ya kuifanya jamii iishi kwa amani bila kuvunjiana haki za watu. Lakini pia unaelewa kabisa zipo haki ambazo mtu huweza kuzidai ambazo zitauvua utu wa mtu na kudhalilisha watu wengine.

Mimi ni miongoni mwa watu ninaopendezwa na mengi uyafanyayo na uyateteayo lakini sasa naona unataka kuboronga. Naomba usimalize vibaya na kujivunjia heshima yako ambayo sisi vijana tulikuwa tunakupa. Vinginevyo tuwe tulikujua tofauti na ulivyo lakini bila shaka najua uliteleza.

Hatuwezi ruhusu kila kitu kwa kigezo cha haki na maamuzi binafsi ya mtu. Embu fikiria kama tukiruhusu mambo unayoyatetea unadhani nini kitatokea.

Embu fikiria turuhusu Mtoto wa kike alale na Baba yake mzazi unadhani utu wa mtu utakuwa wapi? Kisa tu ni mambo binafsi ya watu. Embu fikiria mtu afanye mapenzi na mnyama unadhani utu wa mtu utakuwa wapi? Embu fikiria sasa hivi hapo wewe utembee na mwanao wa kiume eti kisa tu ni haki na mambo yako binafsi unadhani utu wako utakuwa wapi?

Kujua sheria kusikufanye ukavuka mipaka ya asili. Ukavunja kanuni za asili ambazo zimewekwa na Mungu(sio kwa umuhimu).
Tunahitaji wanawake kama ninyi mpiganie mambo ya msingi. Mambo kama Haki za wanawake, haki za watoto, na mambo mengine. Lakini si kutetea ujinga na upuuzi.

Kujua sherias sio kutetea Uovu na kudhalilisha utu wa mtu. Nilitegemea Mama kama wewe ungetumia muda wako kutoa elimu za kisheria na matamko makali ya kuonya kuhusu tabia za ushoga na usagaji. Ukiwa kama Mzazi wengi wangefurahi kukuona ukiwashauri wadada wanaotupa picha za uchi mitandanoni waache kwani wanadhalilisha jinsia ya kike ukiwemo wewe.

Lakini matokeo yake umepuyanga na kuteleza katika utelezi wa kimagharibi. Sikulaumu wala sikushutumu kwa ulilolitenda kwani najua huenda uliteleza.

Nitakulaumu endapo hutafuta kauli yako. Na ndio utakuwa mwanzo wa mwisho wako. Maliza vizuri kwa heshima. Wewe si binti tena mpaka uongozwe na mihemko hivyo busara ikutawale umalizapo zamu yako.

Heshima uliyonayo ni kubwa kwenye jamii ndio maana hata Ukachaguliwa na wanasheria wenzako kuwaongoza kwa mwaka huu.

Hii ilitosha kukufungua akili jinsi Watanzania wanavyokuheshimu. Sasa unapofanya mambo haya kiukweli unanipa mashaka mimi na wengine wenye akili za mfano wangu ambao bila shaka ni wengi.

Hatukusoma ili tuudhalilishe utu wetu. Hatukupata nafasi za juu ili tuifanye jamii yetu kuwa ya kinyama. Mambo ya hivyo tuwaachie mataifa mengine. Kama yupo anayependa mambo hayo tutamsaidia kumpa uhamisho aende akaishi huko ili afanye bila shida.

Hata hivyo serikali ni kama imepoa sana kiasi kwamba inaachia baadhi ya mambo yaenda kiholela. Udhalilishaji wa kina mama umekua kwa kiasi kikubwa. Sasa naona unahamia kwa wanaume.
Nilitamani kusikia wanasiasa, wanaharakati, na viongozi wa dini wakipinga mambo haya kwa nguvu zote. Ushoga na kutuma picha za uchi mitandaoni.

Lakini Mhe. Fatuma umeingia katika kundi la wanaowatetea. Haki ndio wanayo lakini si katika taifa hili. Kama unawaonea huruma basi iombe serikali ikupe ruhusa uwahamishia katika nchi zinazokubaliana na mambo hayo

Mhe. Fatuma Karume, ni matumaini yangu kuwa Andiko hili hutoshindwa kulielewa hakika. Nafahamu unahekima ambayo haitashindwa kuona mahali ulipokosea. Muungwana hukubali maonyo bila kujali anaonywa na nani. Usiwavunje moyo vijana wanaokuchukulia kama Role model wao.

Ikufikie ulipo.
Fatuma karume.jpg
 
Jamaa, jifunze kuandika kitu ukizingatia Brevity. Get to the point, ngonjera ndeeeefu kumbe point iko mwisho, tena screenshot, unapoyltezea watu muda kusoma lirisala lako hilo la nn?

Halafu kulala na baba ni 'INCEST', na kwenye post yake hajataja incests, na kulala na wanyama ni 'BEASTIALITY', pia hajaitaja kwenye post yake, acha kumuwekea maneno mdomoni.

Ila na-support hoja kwamba homosexuality si kitu cha kucheka nacho, lazima kipigwe vita kwa nguvu zote
 
Jamaa, jifunze kuandika kitu ukizingatia Brevity. Get to the point, ngonjera ndeeeefu kumbe point iko mwisho, tena screenshot, unapoyltezea watu muda kusoma lirisala lako hilo la nn?

Halafu kulala na baba ni 'INCEST', na kwenye post yake hajataja incests, na kula na wanyama ni 'BEASTIALITY', pia hajaitaja kwenye post yake, acha kumuwekea maneno mdomoni.
😕😕😕😕😕😕
 
Mimi Huyo Shangazi yenu Napingana nae sana katika hili.
Hatuwezi kurekodi vitu vya kijinga tu post mtandaoni, whether accidentally or intentionally, no way!
Yakifumbiwa macho kizazi hiki kitajua ndo fasheni.
Tutafika stage ya Sodoma na Gomorrah kutaka kuwajisi malaika wa Mungu, TUMPINGE huyu Mama,
Je, mwanae akitoa video ya hivyo ataendelea kusapoti?
Wafanye ufuska wao gizani huko na sio kuleta kwa umma.
Kila mtu akirekodi na kupost hii nchi tutakuwaje?
Kila mtu abebe msalaba wake.
 
huyo fatma karume nilikuwa namuheshimu kwa taaluma yake lakini kuanzia leo namuona ni mnafiki wa kiwango cha tanzania , yeye ndo alikuwa namba moja kama sio mbili kumkandia jokate alipochaguliwa na mkulu kuwa dc kwamba tanzania inapoteza sifa kwa kuwateua wakaa uchi mitandaoni leo
 
Come say that to my face....
Misc. Are you aware that Ronnie Coleman is gay?
It was 2 days after the Olympia and Ronnie was relaxing at his Colorado log cabin. Outside it was snowing; the wind was whistling through the trees. Ronnie was sitting in front of the fire, relaxing his huge muscles. All of a sudden there was a knock on the door.
"Who could dat be" thought Ronnie.

Before he had time to open it, the door burst open and Jay stepped through the door, his wide frame grazing both sides. "Oh this cabin is already taken, sorry Ronnie" said Jay.

"Fsssssss" Ronnie let out a long fart as he stood up and said "Oh Jay baby, I was just warming it up for you". Jay was curious and stepped in, closing the door behind him. "I was just warming up the tub" Ronnie said as he pointed his body towards the tub of water and suds, thrusting his body in the direction of it over and over.

"Damn this looks nice, I think I'll take a dip" said Jay. He removed his coat, revealing that he was wearing nothing underneath. His taut muscles rippled beneath his skin as he slowly walked over to the tub, all the while as he closely watched Ronnie strip down to his posing trunks. As he was about to get in, his massive dong nearly scraping the side, Ronnie motioned for him to stop.

"Aren't you thirsty Jay?"
"Oh yea, I brought some Cell-Tech Hardcore, one ssssecond baby"
"No, I was thinking something a little different, come here Jay you big stud"
Jay stood close to Ronnie, their naked bodies close enough to touch. "Yes Ronnie?"

Ronnie took his right hand and grabbed his massive right pec. With the other, he grabbed the back of Jay's head and forced it onto his nipple. Jay licked it, his tongue massaging it until it stood up, erect. Milk started to flow, and Jay gladly slurped it up. "Oh Ronnie, I see you haven't been taking your anti-estrogens". Ronnie just smiled and closed his eyes.

After a couple of minutes, Jay stood up straight, Ronnie's milk seeping out of his mouth and down his luscious body. Ronnie bent down and licked the excess milk off of Jays body. His tongue traced down to his ripped abs and even lower. "Oh Ronnie yesssssss" Jay moaned as Ronnie grabbed his huge package. I was obvious Jay had been using IgF-1 on it. Ronnie slid it into his mouth, the massive veins nearly breaking his teeth. Ronnie worked on it, massaging the balls, until he eventually slid a finger in Jay's anus.
"Oh Ronnie let me take you first" screamed Jay, throwing Ronnie to the ground. Ronnie spread his cheeks, eager for the glorious sensation. Jay grabbed some suds from the tub and spread them on his member. He wasted no time, forcibly ripping Ronnie's anus. The blood was excellent lubrication. "This ain't no lightweight peanut" Screamed Ronnie in between thrusts. Jay just smiled.
 
Jamaa, jifunze kuandika kitu ukizingatia Brevity. Get to the point, ngonjera ndeeeefu kumbe point iko mwisho, tena screenshot, unapoyltezea watu muda kusoma lirisala lako hilo la nn?

Halafu kulala na baba ni 'INCEST', na kwenye post yake hajataja incests, na kulala na wanyama ni 'BEASTIALITY', pia hajaitaja kwenye post yake, acha kumuwekea maneno mdomoni.

Ila na-support hoja kwamba homosexuality si kitu cha kucheka nacho, lazima kipigwe vita kwa nguvu zote
Inaonekana hujamelewa mleta mada naona amejieleza vizuri
 
Back
Top Bottom