HapanaHivi TLS inachukua ruzuku kwa serikali?
HapanaHivi TLS inachukua ruzuku kwa serikali?
Wewe Kluivert ni mwisho wa matatizo..hahahahahahaNatafuta mke aliyekeketwa kama wewe
TLS haipokei ruzuku ya serikaliNimeshangaa sana. Yaani kupokea ruzuku pekee ndiyo inafanya chombo kiwe cha umma?
Vipi kuhusu mashirika ya PSPF, PPF, NSSF nk mbona hayapokei ruzuku na bado ni mashirika ya umma?
Hata NSSF haipokei ruzuku ya serikali.TLS haipokei ruzuku ya serikali