Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Fatma Karume: Hakuna mtu wa kuidhibiti TLS kwa sababu hakuna binadamu anayeweza kumdhibiti binadamu mwenzake kwa mujibu wa Katiba yetu kila binadamu ni huru, lakini unapovunja Katiba na sheria za nchi hapo hauko huru. TLS tuko huru hatuendeshwi na chombo chochote.
Chama cha wanansheria wa Tanganyika sio mali ya umma kama alivyoeleza jaji mkuu wa Tanzania, Profesa Ibahim Juma. Chama ni cha kitaaluma ambacho kinaendeshwa na wananchama wenyewe ambao ni wanasheria na kipo kwa mujibu wa sheria za nchi,
Fatma aliyechaguliwa hivi karibuni, amewaambia waandishi wa habari kwanba TLS kuwa chini ya serikali ni kuingilia uhuru wa wanansheria katika kutekeleza majukumu yao hatua ambayo ni kinyume cha sheria na kanuni za kimataifa.
Pia soma >Rais Magufuli: TLS ni mali ya umma, isigeuzwe mali binafsi
Chama cha wanansheria wa Tanganyika sio mali ya umma kama alivyoeleza jaji mkuu wa Tanzania, Profesa Ibahim Juma. Chama ni cha kitaaluma ambacho kinaendeshwa na wananchama wenyewe ambao ni wanasheria na kipo kwa mujibu wa sheria za nchi,
Fatma aliyechaguliwa hivi karibuni, amewaambia waandishi wa habari kwanba TLS kuwa chini ya serikali ni kuingilia uhuru wa wanansheria katika kutekeleza majukumu yao hatua ambayo ni kinyume cha sheria na kanuni za kimataifa.
Pia soma >Rais Magufuli: TLS ni mali ya umma, isigeuzwe mali binafsi
Wakili Jebra Kambole: TLS siyo mali ya umma, haijawahi kuwa mali ya umma na haitakuwa mali ya umma
Mwanasheria Mkuu wa Serikali: Nimeboresha kanuni kuzuia wanasiasa kugombea Tanganyika Law Society (TLS)
Kuelekea uchaguzi wa TLS, figisu zaanza kanuni zatungwa kwa siri, mbunge kutoruhusiwa kugombea TLS
Livino Haule: Ukweli kuhusu TLS VS Kauli ya Rais Magufuli
Mwanasheria Mkuu wa Serikali: Nimeboresha kanuni kuzuia wanasiasa kugombea Tanganyika Law Society (TLS)
Kuelekea uchaguzi wa TLS, figisu zaanza kanuni zatungwa kwa siri, mbunge kutoruhusiwa kugombea TLS
Livino Haule: Ukweli kuhusu TLS VS Kauli ya Rais Magufuli