Ni nani "Babuloni", "Babuloni Mkuu" na "Kahaba"?
Katika Ufunuo sura ya 17, "kahaba" ameelezwa. Anazo sifa nyingi zilizoelezwa, hivyo itakuwa ni rahisi kumtambua. Usikiapo jambo hili mara ya kwanza, huenda ukaichukulia hii kuwa ni lugha kali, lakini hata hivyo: alama zote za kutambulisha katika Biblia zaingiana na Kanisa Katoliki. Bila shaka kunao washiriki wengi wa kanisa hili ambao ni wazuri, wasio na hatia, na si kusudi letu kuwanasa. Lakini twajihisi kuwa tunao mwito wa kuwaonya wao, pamoja na wengineo dhidi ya mfumo huo, hali kadhalika mafundisho ambayo mfumo umejengwa juu yake. Usuli ya onyo hili ni amri ya Biblia, na pia ya kwamba hatuwezi, hali kadhalika kwa sababu ishara na alama za kumtambua yule "Kahaba" kwa mujibu wa biblia zaingiana na utawala huu (Ufunuo 17:5).
Mojawapo ya ishara hizi ni:
Alikuwa ameandikwa juu ya paji la uso wake jina la fumbo: "Babuloni mkuu, mama wa wazinzi na wa mambo yote ya kuchukiza sana duniani"(Ufunuo 17:5)
Kanisa katoliki hujiita mama wamakanisa. Katika barua waliotumiwa maaskofu wote wa ulimwengu, Cardinal Joseph Ratzinger aliandika hivi:
"Yapasa izidi kueleweka waziwazi ya kwamba kanisa moja lilio takatifu, la kikatoliki na la mitume linalozaa dunia nzima, hilo sio dada bali ni mama wa makanisa yote" (Daily telegraph,September 4, 2000).
Matangazo ya aina hii huchangia kuhakikisha ya kwamba kanisa katoliki ndilo linalo utimiza unabii wa Ufunuo 17:5.
HUYU Cardinal Joseph Ratzinger ALIKUJA KUWA PAPA BAADAE
LAKINI KUNA WATU WATAKUJA HAPA KUPINGA HUKU WAKIJIITA NI WAKATOLIKI