SANCTUS ANACLETUS
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,337
- 4,664
- Thread starter
- #81
Dunia imejaa watu wapumbavu na wajinga kupitiliza japo wanajidai kuwa na elimu,
Mada inahusu nasaha za ndoa na tabia
MTU anashupaa kuongea lisilohusu mada,
Tafsiri yake ni nini kwa MTU wa namna hii,
Tusi la trumpff
Ndugu yangu mimi nimeshindwa kuelewa huyu ana uelewa Wa kipimo gani? Ameshindwa kuona maudhui ya hoja kuu kaja kung'ng'ana na mambo mengine! Naona alivyoenda shule na madaftari alisahau huko akarudi mtupu kichwani.