DAGAA WA MWANZA
Senior Member
- Jan 27, 2019
- 169
- 464
Katibu mkuu wa Balaza la maskofu Tanzania (TEC) amemuonya Rais Magufuli na CCM kwa namna wanavyoviminya vyama vingine vya siasa, na kuwataka watu wasikae kimya watoke na wakemee haya matendo yanayoligawa Taifa.
Msikilize
Msikilize