msani
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 1,800
- 1,194
Fastjet walikuja kwa kasi na strategy ya lowcost na wakawayumbisha washindani ila sasa mambo tofauti. Leo nimetaka kukata tiketi FASTJET nikaambiwa DSM-MWANZA ni TZS 248,000 kuondoka jpili nikaona niingie kwa mshindani wake PRECISION nikakata kwa TZS 124,800.
Kwaherini fastjet mmempoteza mteja wetu aliyekuwa mtiifu.
Kwaherini fastjet mmempoteza mteja wetu aliyekuwa mtiifu.