Fastjet ni jipu

hata ukifumania mke utamuita magufuli aje ampe talaka. ulizani ndege ni saibaba



 
Mi najiuliza sana, ukiahirisha safari kwa mashirika mengine kama Quatar airways, Emirates, Kenya Airways na mengine gharama yake ninkama usd 50 wakati huo tiketi ina gharimu kama usd 1000 na zaidi. Sasa kwa hawa jamaa safari ya nusu saa tu wanakuletea mizengwa kama vile wana mashariti yankishirikina yasiyovunjwa!
Hata airport kubwa abiria akichelewa huitwa na jamaa utawasikia wakihangaika sana kumpata maana wanajua thamani ya mteja. Hawa fast jet ni wezi tu na yawezekana wanabebwa na mikono ya mafisadi
 
Kwa msaada zaidi peleka malalamiko yako FAIR COMPETITION COMMISSION UBUNGO. This are industry regulators and consumers protectors. Usisubiri magufuli afanye kila kitu wakati kuna waliopewa majukumu hayo.. fanya nilivyokuambia utaona matokeo yake

I agree fastjet are comen. Their fare structure is very deceptive, not flexible and not transparent. Kama huna uhakika wa tarehe na muda wa kusafIri panda Precession Air, fastjet watakumaliza kwani hiyo nauli rahisi wanayotangaza wanalipizia kwenye alteration. Fair competition commission do something about this company practices.
 
Commission will not do anything till complaint is lodged by Complainants! Mara nyingi naona ndo utaratibu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…