FASTJET: My first and last experience


Mkuu, mbona hayo masharti niliyazingatia vizuri tu?

Tiba
 

Inawezekana ni matatizo ya uvivu wangu wa kusoma, but surely what is this all about?

Tiba
 
We umetumwa na mmiliki wa Precision? uchelewe "menyewe" afu ualamike, yaani story yako ni mikasa tu we unachuki na walinzi? Kule mlinzi wa uwanjani huku mlinzi wa Hoteli.
 
Pole ndugu yangu hizi ndio low cost airline au budget airline kule ulaya ryan air ukiwa ndani ya ndege choo unalipia kupunguza gharama kojoa kabisa airport ukipanda ndani unalipia, tupende kusoma TERMS AND CONDITIONS.ila pia ni kweli abiria hua wanafanya makosa kuchelewa nishawahi kuona hili lakin wafanyakazi wa fastjet na precision nao they are too arrogant mteja kachelewa si unamuelewesha taratibu badala ya kuanza kumfokea na majibu ya kejeli "eti tiket yenyewe ya bei rahisi halafu unataka usubiriwe"hahahahaha mdogo wangu alijibiwa hivyo
 
Kiswahili hiki, khaaa!! You made my day hahahahaaaaa

Sikonge hebu nisaidie kidogo hapo, hiyo sio hali halisi? kuna nilichoongezea au kupunguza?unashangaa mtu yuko boxini ila habari zote za Dar za leo anazijua A-Z
 
Last edited by a moderator:
Ni vyema kuuliza kwa undani kabla hujapanga safari ya ndege kama huna uzoefu wa kusafiri kwa ngede kwasababu hakuna airport duniani abiria wanacheki dakika arobaini kabla ya kuondoka, ila unatakiwa kuingia kwenye ndege dakika arobaini kabla ila check in inafanyika masaa mawili kabla ya kuondoka. Inaweza isikuingie akilini lakini kuna vitu vingi na muhimu vinavyofanyika baada ya kucheck in ambavyo kama sio lahisi kuvijua, pamoja na hilo Fastjet inabeba abiria 154 ikijaa full ukisema abiria wachek dakika 40 kabla ya kuondoka ni kitu kisichowezekana hata kidogo. Fastjet wanamapungufu yao lakini kwa hili sidhani kama wanapaswa kulaumiwa na kama abiria atakua anaenda kucheck 40 before na anajiapiliza kutopanda hiyo ndege akiachwa basi hakuna ndege inayomfaa hapa duniani.
 
Akili nyingine bana! Hivi wote mkifika 2 hours before mtaingia kwa wakati mmoja? 40 minutes before departure ndo wanafunga. Ina maana ukifika bado dakika 50 upo ndani ya muda
Sio kweli hata kidogo chek-in ni masaa mawili then counter ikifungwa kuna nusu saa ya kufanya loading baada ya hapo ndio kuanza kuingia kwenye ndege kuna utofauti wa kufunga check in na kuingia kwenye ndege unapofika kabla ya dakika 50 utakua umechelewa pia itategemea hisani ya utakayemkuta
 
Kiongozi kama counter inafungwa dk 30 kabla ya kuruka, huo muda kabla ya hizo dk 30 ni kwa ajili ya nini??

Kuna muda wa kuanza kupokea abiria wa ndege husika (check-in say 2hrs before dept) na muda wa kufunga kupokea abiria (say 40min before dept). Sasa hayo maelezo mengine mnayatoa wapi jamani??

Mtu akifika counter dk 41 kabla ya ndege kuruka bado yupo ndani ya muda...sasa kwa sababu saa wakati mwingine hazisomi sawa ndio maana naweza kujipa dk kama 10 kwamba angalau 50dk kabla ya kuruka niwe kaunta.

Mie kuchelewa ama kuwahi huwa inategemea kama nina mizigo au la!
 
Pole sana, hii ndio bongo, usanii kuanzia juu mpaka chini
 
Hata makampuni makubwa sana duniani hufa kwa ajili ya kutemper na wateja.
 
Hahahaaa, hiki Kiswahili chako yani sina mbavu. Unanikumbusha Dogo mmoja huwa anasema "....chukua Juice Frijini" au dogo fulani anaishi Mwanza anasema "Bus lilipofika, tukadumbukiamo......"

What about "mtu yupo kwenye Box" badala ya hii yako inayonivunja mbavu ya "yupo Boxini"?

Box ndiyo lenyewe Dada yangu Mrembo. Wewe chumia tu juani na siku ikifika uje uliye kivulini.
Sikonge hebu nisaidie kidogo hapo, hiyo sio hali halisi? kuna nilichoongezea au kupunguza?unashangaa mtu yuko boxini ila habari zote za Dar za leo anazijua A-Z
 

Tunaangalia rate ya kupata ajali! Sawa kuna factors nyingi kuwa one may argue kuwa number ya ndege ni ndogo kuliko mabasi which implies that chances za kupata ajali kwenye mabasi ni kubwa kuliko ndege. Lakini tufanye basi kilomita travelled> Nadhani ndege zinaweza kuwa na km nyingi kuliko mabasi! Pamoja na yote, bado ndege ni salama kulinganisha na mabasi. Tena rafiki kumbuka hata mabasi ni second hand FUSOs modified to serve as buses!!
 

Pole sana dada mi mwenyewe yalishanikuta, hawa jamaa wa fastjet hawako serious kabisa
 
Pole sana dada mi mwenyewe yalishanikuta, hawa jamaa wa fastjet hawako serious kabisa

Asante mkuu wangu, customer care hapa kwetu ni janga kwa kweli!!!!!

Tiba
 

Nashukuru Mzee kwa bandiko lako. Sasa mimi na hao fastjet sijui nani alikosea. Wao wenyewe, wanasema abiria akifika 40 minutes kabla ya ndege kuondoka, wanam check in. Mimi nilifika zaidi ya muda huo lakini kwa uhuni wao, waliishaondoka counter!!!!

Tiba
 
Ukitaka huduma za haraka luka na Rugha ya Malkia UK ila sasa kuwa makini na jina lako lifanane na iyo Lugha sio unaanza kusema My name is Sikujua Mwigulu watajua mbongo unajilipua Gordon John

Ila jamani mimi several times huwa nachek in izi local flights nusu saa kabla.
Kuna siku walitaka komaa nami nikapiga bit kuwa nitaruka na MD unajua mimi ni nani?Faster nikaruhusiwa
Ila pole kwa yaliyoukuta usikute ndege ilisha jaa ndo zao hawa jamaa apo ata kama ungekuja lisaa kabla.
Cheap things are expensive sometimes
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…