FASTJET: My first and last experience


Rushasha, asante, iliniuma siku ile, bado inaniuma na uenda ikaendelea kuniuma. Ushauri wako ni mzuri nashukuru lakini unajua unaweza kujikuta unapoteza muda wako zaidi na suluhisho usipate. Hapo utaanza kuulizwa ushahidi kama kweli ulifika 40 minutes before departure time na mambo kama hayo ambayo kwa kweli siwezi kuya prove beyond doubt.

Tiba
 
Kwa ARUSHA hiyo ni sawasawa MACHIMACHI RESORT ya Kinondoni Shamba!....:heh::heh::heh::heh::heh:

Safariiiiii🙂 Hii MACHIMACHI umenikumbusha mbali kidogo......Na zile taulo zao kama kokoro kwa jinsi zilivyochoka!!!!
 
Ukiacha ile arrogance Fastjet wako sahihi kabisa. Kawaida check-in inapaswa kumaliza dakika 30 kabla ya ndege kuruka ili kuwapa marubani kupitia loadsheets kujua wana abiria wangapi, mizigo ya uzito kiasi gani na mafuta kiasi. Bila kufanya hivyo ndege haiwezi kuondoka. Kama check-in imeshafungwa sio rahisi kufungua kwa ajili ya abiria wachache labda liwe jambo la kufa na kupona. Hata pale ambapo ndege imepata hitilafu kama Ground handling Agent yaani Swissport wamefunga usiku Manager wa Fastjet hana cha kufanya. Jifunze kuwahi maana ndege haisubiri mtu labda awe Rais
 
kweli kila ntu ina akili yake, hakuna ntu 2 inayoshea akili ,hardly mapacha wa ajabu
 
Zilijulikana kama "msasa"....ubachela bana we acha tu....iko ingine ikiitwa BUIBUI (sijui kama bado ipo)

Hahaahahaaa:heh: Hii hata ulikuwa ukenda saa nne asubuhi inabidi upange foleni kupata chumba!!!!! Kweli ubachela kiboko!!! Hadi mhudumu wa vyumbani anakuwa mshikaji ili kukuwezesha ku-jump foleni!!!
 
Na hiyo story ya reporting time ya dk. 40 kabla ya ndege kuondoka we uliipata wapi?

ni standard! One hour kwa ndege za nje na 40 minutes kwa domestic flights
 
Pole sana mkuu.....kumbe tulikuwa wote pale......ila mwenzio nilicheza ushapu nikaondoka na 5H-CCM.......
 

Mkuu asante kwa mchango wako, lakini ukiangalia muda ambao nilifika pale na muda ambao ndege ilipashwa kuondoka kulikuwa na karibu dakika zaidi ya 50 ingawaje wao Fastjet wanasema ukifika dakika 40 kabla ya ndege kuruka watakusikiliza. Mimi sikusikilizwa ingawaje nilifika ndani ya muda wao!!!! Halafu sio kusikilizwa tu, nilihisi dharau za hali ya juu kutoka kwa mtu wao pale uwanjani. Wakiweka taratibu, wahakikishe wao wenyewe wanaziheshimu kama wanavyotaka sisi tuziheshimu hizo taratibu.

Tiba
 
this is a receipt for your luggage
 

Attachments

  • IMG-20130402-00252.jpg
    219.1 KB · Views: 147

nadhani hizo gharama ulizoingia ni kujitakia mkuu. Na pengine kudekeza wanakofanya precission ndiko kuna waharibu watu. Mtu unajua unasafari na taratibu za ndege zinajulikana wazi inakuwaje unasubiri hadi dakika ya mwisho?
 
nadhani hizo gharama ulizoingia ni kujitakia mkuu. Na pengine kudekeza wanakofanya precission ndiko kuna waharibu watu. Mtu unajua unasafari na taratibu za ndege zinajulikana wazi inakuwaje unasubiri hadi dakika ya mwisho?

Mkuu Maboso, soma tena bandiko langu kwa makini halafu uniambie hiyo last minute iko wapi? Nilifika uwanjani kabla ya muda wanaoutangaza wao Bwana, naona unataka kunikumbusha tu machungu yaliyonipata siku ile.

Tiba
 
gharama nyingi ni zakujitakia...hapakuwa na sababu ya kukodi tax mara tatu toka arusha kwenda KIA. kuna hoteli za kutosha moshi bado ungepata hifadhi. pia gharama ya hoteli ni ya kujitakia.
 
Mkuu pole, lakini naona hauko makini, check in time closes 40min before departure kwanini unangojeanhadi last minute ifike ile 40 min ndio uingie? Ungewahi kidogo....inawezekana wana sababu za msingi kukwambiamhuwezi,kuingia...pili unajifanya mtasha sana mpaka mlinzi wa shuttle anakwambia shuttle imeshaondoka inaonesha uliongea naye kiingereza....
 

Kumbuka ndege haikuruka pia. Jenga mazoea ya kusoma habari yote kabla hujacomment

Asante kunielewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…