Nilikata tiketi online juzi to Mwanza ndege ya leo asubuhi saa 12. Jana usiku saa saba nikapata sms ndege ya asubuhi imefutwa hadi saa 11.25.jioni. Nimewahi Airport saa 8 mchana nikaambiwa hakuna Ndege Leo mpaka kesho saa 11.30 jioni. Na pesa hawawezi rudisha kwa leo mtandao unasumbia. Nimemuona shetani na ndugu zake wote wananiita. Wallahi.