Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 4,279
- 6,452
Sasa hivi uki-book tiketi online unakutana na hilo tozo la "Hold My Fare Fee", nini lengo lake na je linarudishwa kwa mteje? maana ukiuliza wafanya kazi wa fast jet hapa moshi hawana majibu ya kueleweka.
Msaada tafadhali
Msaada tafadhali