Fashion mpya ya nguo

Fashion mpya ya nguo

Last edited by a moderator:
Domo.. aka Almasi....!
Samahani mkuu kwa usumbufu.....kwani kijana wa watu amekukosea nin ?i.....unamchukiaje kijana mwenzio kiasi hicho....?....vile vile kwanini unacheka maumbile ya binadamu mwenzio ilihali hakuna kiumbe hata mmoja aliyejadiliana na MUNGU kuwa aumbwe vipi....na ndio sote tunaamini tumeumbwa kwa mfano wake....kwa hiyo ukimkosoa binadamu mwenzio ujue unamkosoa MUUMBA....kijana bado una safari ndefu sana kwenye maisha na kwa bahati mbaya au nzuri hakuna anayejua mambo ya mbele.....huyo unayemuita domo anaweza akaja kukuita wewe mlemavu..........CHUNGA SANA KIJANA......BADO SAFARI NI NDEFU SANA.....
 
Haujamuona hata huyo panya anayetembea nae?
Homey faith kwa kweli sioni kitu hapo may be ungetuletea Rihanna akiwa hivyo ningeona

Mr Rocky hata mimi nimeona chenga tu labda angekuwa Honey Faith ndio katokelezea hivyo ningeweza nikaona kwa mbali labda mtaalamu utafiti anaweza kuona hapa!
utafiti kaniambia hapa haoni kitu may be tukatafute darubini tuje tuchungulie hapa ingekuwa Rihanna watu wangeona mpaka kiatu alichovaaa

Huyo panya aliekuwepo nae pia haumuoni?
Honey Faith tutafutie mambo zetu zile bana ndo tutaona aise hapa ni chenga chenga tuu
cc Kibo10 , utafiti
 
Last edited by a moderator:
Homey faith kwa kweli sioni kitu hapo may be ungetuletea Rihanna akiwa hivyo ningeona


utafiti kaniambia hapa haoni kitu may be tukatafute darubini tuje tuchungulie hapa ingekuwa Rihanna watu wangeona mpaka kiatu alichovaaa


Honey Faith tutafutie mambo zetu zile bana ndo tutaona aise hapa ni chenga chenga tuu
cc Kibo10 , utafiti

That's true Mr Rocky kama Honey Faith anataka tuone atupie ile vitu nono akifanya hivyo hata utafiti atatoka pangoni au honey ajibandike yeye wallah tutaona sote kwa pamoja!
 
Last edited by a moderator:
That's true Mr Rocky kama Honey Faith anataka tuone atupie ile vitu nono akifanya hivyo hata utafiti atatoka pangoni au honey ajibandike yeye wallah tutaona sote kwa pamoja!


Sasa anatuwekea mavitu magumu magumu kama mipanya sisi tutaonaje sasa wakati tunataka vitu laini vilivyokaa njema na vinono na vilenzi mbinuko hapo hata utafiti na Kibo10 na Mr Rocky wataona kwa macho haya haya bila darubini
 
Last edited by a moderator:
Tezi dume ndio habari ya mjini maana ukipata tu unaenda marekani kutibiwa sasa huo upofu inakuaje?

Kwa ile aina ya matibabu yake Honey Faith sina hamu nayo aise tezi dume wapate huko huko bora upofu nitavaa miwani aise nichungulie
 
Last edited by a moderator:
Tezi dume ndio habari ya mjini maana ukipata tu unaenda marekani kutibiwa sasa huo upofu inakuaje?

Kwa ile aina ya matibabu yake Honey Faith sina hamu nayo aise tezi dume wapate huko huko bora upofu nitavaa miwani aise nichungulie
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom