Farasi wanauzwa wapi?

Farasi wanauzwa wapi?

mmmh mimi nikajua farasi kama ngombe tu laki 5 hadi mil 1.......kumbe hela zote hizo..
nyie nunueni hao farasi mimi sina hela sasa hivi
 
Mkuu, achana na kununua farasi. Mfano unaponunua kiVitz kina uwezo wa Farasi 75. So ukimiliki kigari kidogo kama Vitz ni sawa na kumiliki zizi zima la farasi.
 
Mkuu, achana na kununua farasi. Mfano unaponunua kiVitz kina uwezo wa Farasi 75. So ukimiliki kigari kidogo kama Vitz ni sawa na kumiliki zizi zima la farasi.
Yote hiyo gharama ya nini.?
Bora uje huku kwetu "utokoni"
Uje kununua punda mkubwa mwenye afya kwa bei ya laki Moja na nusu.!
 
Inategemea na Farasi ndugu ,Wapo Farasi wanauzwa mpaka dollar laki moja, 100,000 Usd.
 
Kha[emoji23]. Alaf umemweka bandani kaja mtu bila kujua kamwekea chakula kisichofaa mara Farasi kafa. Unaweza kukodi wale askari wa makond.a kwenda kuua mtu aisee[emoji1430]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kha[emoji23]. Alaf umemweka bandani kaja mtu bila kujua kamwekea chakula kisichofaa mara Farasi kafa. Unaweza kukodi wale askari wa makond.a kwenda kuua mtu aisee[emoji1430]
😃😃😃
 
Ulieurizia faradi miaka mitatu iliopita tupe mrejesho unao wangapi sasa nawashapandana nakuzaliana 🤣🤣
 
Back
Top Bottom