Fao maalum la Mkupuo la NSSF (Special Lumpsum Benefit)

A.MTALE

Member
Aug 15, 2012
22
5
Wanajamvi Habarini za wakati huu.

Napenda kufahamishwa kwa ajili ya ufahamu wangu na wengineo. Je kama umefungua madai NSSF ya special lumpsum benefit na status ikawa Approved na pia ukiangalia kwenye member's portal kwenye account yangu naona salio ni Zero na contributions zero na number of credits zero je hali ya namna hiyo inamaanisha nini na mfumo wa malipo unakuaje hapo

Ahsanteni sana.
 
Wanajamvi Habarini za wakati huu.

Napenda kufahamishwa kwa ajili ya ufahamu wangu na wengineo. Je kama umefungua madai NSSF ya special lumpsum benefit na status ikawa Approved na pia ukiangalia kwenye member's portal kwenye account yangu naona salio ni Zero na contributions zero na number of credits zero je hali ya namna hiyo inamaanisha nini na mfumo wa malipo unakuaje hapo

Ahsanteni sana.
Hapo maana yake wameshatoa deposit cheque kwenda kwenye akaunti yako mkuu. Mzigo utasoma kwenye akaunti yako ndani ya masaa 72, jiandae kupokea mzigo huo mkuu kwa kishindo na kuweka heshima baa! Hongera.
 
Back
Top Bottom