Fao la kujitoa kulikoni?

Shembago

JF-Expert Member
Aug 20, 2011
332
50
Lile Fao la kujitoa ambalo Wabunge walipitisha eti unalipata mpaka ufikishe umri wa kustafu miaka 55 wakati wao after 5 years Mbunge anakula cahke anaanza mbele ila kwa wapiga kura wao mpaka 55! Sasa baada ya kelele nyingi ilitegemewa review ya sheria ile ije katika Bunge hili la mwezi wa kumi,lakini cha kushangaza juzi nimemsikia afisa wa Bunge akieleza mambo yatakayojadiliwa katika Bunge hili,hili swala sikulisikia kabisa.

Sasa nauliza hawa ndugu wanampango gani na hili fao? Wanampango gani na hela zetu?

Jamani tafakarini na mchukue hatua,2015 lazima tuwang'oe tu penda msipende!
 
Wazo lako ni zuri, maana kuna Mbunge wa CCM alipita kwenye mikoa kukusanya maoni ili Mnyika asifanikishe azma yake. Kabla ya kuahirisha kikao Mbunge huyo aliwasilisha hoja yake na ikaungwa mkono, walipotoka Posho town wakaingia kwenye chaguzi ndani ya CCM kila mmoja akitaka awepo kwenye NEC. Matokeo yake ile hoja na mtoa hoja mwenyewe tusishangae kusema HANSARD ilimnukuu vibaya hakuwa na nia ya kutaka mabadiliko ya fao la kujitoa, muda huo msishangae kusikia wale wanaoafiki waseme NDIYO (NDIYOOO), na wale wasioafiki waseme SIYO (SIYOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO) msije kushangaa spika anasema waliosema NDIYO anadhani wameshinda. Hadithi itaishia hapo, sasa tusimame kidete tuunge mkono Mnyika na wabunge wazalendo wenye uchungu na fedha za wapiga kura wao. Nashukuru kuleta thread hii mkuu.
 
kama sikosei kwenye uchambuzi wa magazeti jana au juzi gazet la gardian liliandika mswada utapelekwa bungeni kikia cha kwanza cha bunge mwakani..mwenye details kamili hatujulishe...
 
yaani nikiwazaga hii issue huwa natamani kufa! ccm ni majambazi! wameiba, wameifilisi nchi, sasa wanatulazimisha kinguvu kuchukua nssf yetu! wasilete utani, tuatakuja kuuana wallah, tungeandamana kwa mambo ya maana kama haya, na kuvunja magogoni badala ya makanisa, wote tungesuportiana! JAMANI WE SHOULD B SERIOUS AND ACT, WENZETU WAMESHAIBA NA WAMEHIFADHI PESA ZAO USWISS NA KWINGINEKO, WHAT ABOUT US!! KIKWETE U R A DISGRACE TO OL PRESIDENTS IN THE WORLD!
 
Mtu akifungua geti na wewe ukamkenukia, siku ya pili ataingia ndani bila kubisha hodi mlangoni. Mwishowe ataingia chumbani bila kubisha hodi. Walianza kula kodi mashirika yetu, tukanyamaza. Wakala kodi zetu, tukanyamaza. Sasa wamekula fedha zetu za hifadhi, tukinyamaza, tumekwisha. Wamefika chumbani lazima tuseme, "Komeni, kama mlivyokoma....."
 
SSRA Amendment Bill till next year – Govt
By Emmanuel Onyango
14th October 2012
clip_image002.gif
Email
clip_image004.gif
Print
clip_image006.gif
Comments
clip_image007.jpg
Deputy Minister for Labour and Employment Dr Milton Makongoro Mahanga
Anyone waiting to hear the fate of contributions to any of the pension funds will have to hold their breath until next year when Parliament tables a Bill to amend the Social Security Laws (Amendments) Act 2012 in Dodoma. In April this year, Parliament passed the Social Security Regulatory Authority (SSRA) Amendment Bill, 2012 under which subscribers were barred from taking out their benefits until they attained retirement age. Soon after, workers across the country, notably those in the mining sector, rose in sporadic protests and called for an immediate review. Kisarawe MP Seleman Jafo then tabled a private motion in Parliament pressuring the government to review the Act. However, when tabling the 2012/2013 budget, the Minister for Labour and Employment, Gaudensia Kabaka promised MPs and the entire community of workers that the Bill to amend the Act would be tabled in the session that starts in Dodoma end of this month. But on a sudden turn of events, the government has this week told The Guardian on Sunday that workers would have to wait until early next year when the Bill comes up for review. Deputy Minister for Labour and Employment Dr Milton Makongoro Mahanga this week told this paper that his ministry couldn�t find sufficient time �to go through the various proposals� but promised that a draft Bill could be finalized by next February. �We are still working on the proposals � we need to collect views from the people before we can act,� he said, adding that the ministry needs those views to present a better and more comprehensive bill. The Trade Union Congress of Tanzania (TUCTA), which has followed the matter closely since April this year, has said it was first �puzzled� by the sudden turn of events but has since expressed confidence that the ministry would work on it. TUCTA Secretary General Nicolaus Mgaya this weekend told The Guardian on Sunday that he had already sent in a 12-page report to the ministry, setting out a number of recommendations that called for immediate implementation. But as things stand now, the Union has little option but wait until the ministry clears its decks. �We are not worried so about the slow pace � we are more concerned over the contents of the final draft � it�s the promise we want fulfilled,� he said, during an exclusive interview. He added the workers were anxious to know the fate of their contributions, and that the issue was �sensitive� because it touched on their rights of access to their benefits. Following the recent announcement by the fund�s regulatory Authority, many workers said during random interviews that they worried the sudden policy changes could disrupt their life plans � saying they held high expectations of financial gains to support their families.
SOURCE: GUARDIAN ON SUNDAY
0 Comments | Be the first to comment

Huo ndo mkwala wa bwana mkubwa!

 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom