Fao la akiba la kuacha kazi - Nssf

Fao la akiba la kuacha kazi - Nssf

Kifarutz

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2012
Posts
1,736
Reaction score
360
Wakuu naomba kupatiwa latest updates kama kuna uwezekano wa kupata fao langu la NSSF baada ya kuacha kazi. Nakumbuka serikali dhaifu ilikuja na hoja dhaifu eti ni mpaka nitimize miaka 55 and above wanadhani tunapenda kuwa ombaomba uzeeni. Hoja hiyo ilileta malumbano kadhaa but sikujua kama serikali ilabadili msimamo ule wa kishenzi. Nipeni mistari kama vipi kesho nianze michakato
 
Siyo lipitie naomba uandike moja kwa moja bila kona sema liifute hiyo sheria. Tena serikali inatakiwa imfukuze kazi yule mwanamke. Na hiyo serikali ijue mawazo ya kike kike yaliyotolewa na huyo mwanadada yamewasababishia migogoro na wananchi.
 
Subirini jamani,hili suala tayari limeundiwa wataalam watakoliangalia kwa undani zaidi na hatimaye kupeleka mapendekezo bungeni kupitia wizara husika. Makosa yalishafanyika kinachofuata ni kufanyia marekebisho bila kuathiri mafao ya wanachama kinyume na hapo basi ndio kitaeleweka.
 
Wahanga tuko wengi.yaani nimeoteshwa hii issue ni ya ki DECI zaidi.yaani mimi sijui nina mikosi gani?kila nikitaka kujikwamua napata vikwazo.Deci kwa ujinga wangu nakiri nililizwa, baadae nikajiunga na nssf baada ya kuona miaka niliyofanya kazi hapo inatosha nikaacha kazi ili nitakachopata nssf nirudi nacho kijijini nikawalee wazazi wangu,Wamekintungia tena sheria. PESA ZETU SHERIA ZAO.Yaani sijui nimlilie nani?Hii nchi hii CCM MMMMMMMMMMMMMMMMH ?mUNGU KIMBIZA MIAKA 2015 IFIKE HARAKA NITOE HUKUMU
 
Hii sheria wataifuta kabisa katika kikao cha bunge kijacho.
 
Siyo lipitie naomba uandike moja kwa moja bila kona sema liifute hiyo sheria. Tena serikali inatakiwa imfukuze kazi yule mwanamke. Na hiyo serikali ijue mawazo ya kike kike yaliyotolewa na huyo mwanadada yamewasababishia migogoro na wananchi.
kweli kabisa!
 
Back
Top Bottom