Tuko tayari kuacha kazi na kujiajiri. Tupatieni fao la kujitoa

Justine Marack

JF-Expert Member
Jul 31, 2014
564
1,548
Kumekua na kauli za kubeza watumishi pindi tunapo lalakikia maslahi duni. Wanasiasa wengi na watu binafsi wanekua wakitamka kuwa asiyetaka au anaye ona mshahara haitoshi aache kazi.

Ifahamike kuwa wapo watumishi ambao tuko tayari kuachia nafasi ili na wengine wapate Ajira ili sisi tukajiajiri.

Tatizo ni vile serikali imepokonya Hali ya malipo ya FAO la kujitoa.
Haina haja jambo la kubadili kazi iwe ni kejeli na dhihaka Kwa watumishi. Kazi iwe ni Moja ya haki na uhuru binafsi wa mtumishi. Mtu awe huru kupanga namna ya kutumia muda wake hapa duniania. Mtu apenge ni lini afanye mambo yake kulingana na malengo yake.

Kama Nina wito wa kuzeekea kwenye utumishi niamua mwenyewe. Kama nataka kuwa mkulima baada ya utumishi wa miaka mitano au zaidi niamue.

Sasa tuko tayari kuacha hiyo kazi ili tubadili namna ya kulitumikia taifa Kwa njia mbadala.

Tunaomba pesa zetu huko NSSF ambazo mmezishikilia kama fao la kujitoa.

Huo mshahara wenu tunashukuru Kwa hapa tulipo fika, Sasa tupishe wengine.
Tunaomba hilo fao
 
Moja ya vitu vilivyoniuma ni hilo. Niliachana na Taasisi fulani mwaka 2018, na kujiunga na Taasisi nyingine. Nilipokwenda LAPF enzi hizo ili nichukue fedha zangu, yule mtumishi akaniambia, "hutaweza kuchukua fedha kwani hakuna fao la kujitoa bali la kukosa ajira, kamlaumu waziri fulani (.....), ndiye aliyesaini hiyo sheria."

Kwa hiyo nikaviacha vi milioni vyangu kule mpaka leo. Na kila nikimuona yule waziri huwa nakumbuka tu milioni twangu aisee!

Hapa ni lazima Serikali ikiri iliwaumiza vijana wengi hasa waliokuwa sekta binafsi na kuvuruga malengo yao. Inabidi itubu na kuirejea hii sheria.

Anyway, Mungu ni Mwema. Maisha lazima yaendelee!
 
Kumekua na kauli za kubeza watumishi pindi tunapo lalakikia maslahi duni. Wanasiasa wengi na watu binafsi wanekua wakitamka kuwa asiyetaka au anaye ona mshahara haitoshi aache kazi.

Ifahamike kuwa wapo watumishi ambao tuko tayari kuachia nafasi ili na wengine wapate Ajira ili sisi tukajiajiri.

Tatizo ni vile serikali imepokonya Hali ya malipo ya FAO la kujitoa.
Haina haja jambo la kubadili kazi iwe ni kejeli na dhihaka Kwa watumishi. Kazi iwe ni Moja ya haki na uhuru binafsi wa mtumishi. Mtu awe huru kupanga namna ya kutumia muda wake hapa duniania. Mtu apenge ni lini afanye mambo yake kulingana na malengo yake.

Kama Nina wito wa kuzeekea kwenye utumishi niamua mwenyewe. Kama nataka kuwa mkulima baada ya utumishi wa miaka mitano au zaidi niamue.

Sasa tuko tayari kuacha hiyo kazi ili tubadili namna ya kulitumikia taifa Kwa njia mbadala.

Tunaomba pesa zetu huko NSSF ambazo mmezishikilia kama fao la kujitoa.

Huo mshahara wenu tunashukuru Kwa hapa tulipo fika, Sasa tupishe wengine.
Tunaomba hilo fao
Umeandika jambo kubwa sana mkuu.. sana, shida ni CCM tu nchi hii aisee..

Yanini wanang'angania watumishi ilhali hawawezi kuwalipa!!??

🙏🙏
 
Kumekua na kauli za kubeza watumishi pindi tunapo lalakikia maslahi duni. Wanasiasa wengi na watu binafsi wanekua wakitamka kuwa asiyetaka au anaye ona mshahara haitoshi aache kazi.

Ifahamike kuwa wapo watumishi ambao tuko tayari kuachia nafasi ili na wengine wapate Ajira ili sisi tukajiajiri.

Tatizo ni vile serikali imepokonya Hali ya malipo ya FAO la kujitoa.
Haina haja jambo la kubadili kazi iwe ni kejeli na dhihaka Kwa watumishi. Kazi iwe ni Moja ya haki na uhuru binafsi wa mtumishi. Mtu awe huru kupanga namna ya kutumia muda wake hapa duniania. Mtu apenge ni lini afanye mambo yake kulingana na malengo yake.

Kama Nina wito wa kuzeekea kwenye utumishi niamua mwenyewe. Kama nataka kuwa mkulima baada ya utumishi wa miaka mitano au zaidi niamue.

Sasa tuko tayari kuacha hiyo kazi ili tubadili namna ya kulitumikia taifa Kwa njia mbadala.

Tunaomba pesa zetu huko NSSF ambazo mmezishikilia kama fao la kujitoa.

Huo mshahara wenu tunashukuru Kwa hapa tulipo fika, Sasa tupishe wengine.
Tunaomba hilo fao
Uko sawa kabisa ndugu!

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom