Justine Marack
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 564
- 1,548
Kumekua na kauli za kubeza watumishi pindi tunapo lalakikia maslahi duni. Wanasiasa wengi na watu binafsi wanekua wakitamka kuwa asiyetaka au anaye ona mshahara haitoshi aache kazi.
Ifahamike kuwa wapo watumishi ambao tuko tayari kuachia nafasi ili na wengine wapate Ajira ili sisi tukajiajiri.
Tatizo ni vile serikali imepokonya Hali ya malipo ya FAO la kujitoa.
Haina haja jambo la kubadili kazi iwe ni kejeli na dhihaka Kwa watumishi. Kazi iwe ni Moja ya haki na uhuru binafsi wa mtumishi. Mtu awe huru kupanga namna ya kutumia muda wake hapa duniania. Mtu apenge ni lini afanye mambo yake kulingana na malengo yake.
Kama Nina wito wa kuzeekea kwenye utumishi niamua mwenyewe. Kama nataka kuwa mkulima baada ya utumishi wa miaka mitano au zaidi niamue.
Sasa tuko tayari kuacha hiyo kazi ili tubadili namna ya kulitumikia taifa Kwa njia mbadala.
Tunaomba pesa zetu huko NSSF ambazo mmezishikilia kama fao la kujitoa.
Huo mshahara wenu tunashukuru Kwa hapa tulipo fika, Sasa tupishe wengine.
Tunaomba hilo fao
Ifahamike kuwa wapo watumishi ambao tuko tayari kuachia nafasi ili na wengine wapate Ajira ili sisi tukajiajiri.
Tatizo ni vile serikali imepokonya Hali ya malipo ya FAO la kujitoa.
Haina haja jambo la kubadili kazi iwe ni kejeli na dhihaka Kwa watumishi. Kazi iwe ni Moja ya haki na uhuru binafsi wa mtumishi. Mtu awe huru kupanga namna ya kutumia muda wake hapa duniania. Mtu apenge ni lini afanye mambo yake kulingana na malengo yake.
Kama Nina wito wa kuzeekea kwenye utumishi niamua mwenyewe. Kama nataka kuwa mkulima baada ya utumishi wa miaka mitano au zaidi niamue.
Sasa tuko tayari kuacha hiyo kazi ili tubadili namna ya kulitumikia taifa Kwa njia mbadala.
Tunaomba pesa zetu huko NSSF ambazo mmezishikilia kama fao la kujitoa.
Huo mshahara wenu tunashukuru Kwa hapa tulipo fika, Sasa tupishe wengine.
Tunaomba hilo fao