mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,730
Mkuu,habari za safari,
Pole na kazi ngumu sana ya kulitumikia taifa letu,najua una kazi ngumu sana,wanaosema hushauriki mie huwa siwaelewi,kila ninapoandika uzi hapa jamii forums kusoma ushauri bora umekuwa ukijitahidi sana kuufaanyia kazi.
Mkuu huku wilayani ni vituko kwa kwenda mbele,ma-DC kila kukicha wao na kamera mitaani. Waandishi uchwara ndo muda wao wa kuvuna. Sina hakika na waganga,ila baba kumaliza haya nakuomba ufanye uteuzi wa ma DC haraka tupumue mitaani tafadhali.
Hali sio shwari nakushukuru sana mkuu maana vijana wa Chama chetu nao wamegeuka mitambo ya kufyatua matusi kwa wapinzani. Jitahidi wiki ijayo tupumzike baba maana mateso ya kunywa chai kwa pipi yametosha...
Pole na kazi ngumu sana ya kulitumikia taifa letu,najua una kazi ngumu sana,wanaosema hushauriki mie huwa siwaelewi,kila ninapoandika uzi hapa jamii forums kusoma ushauri bora umekuwa ukijitahidi sana kuufaanyia kazi.
Mkuu huku wilayani ni vituko kwa kwenda mbele,ma-DC kila kukicha wao na kamera mitaani. Waandishi uchwara ndo muda wao wa kuvuna. Sina hakika na waganga,ila baba kumaliza haya nakuomba ufanye uteuzi wa ma DC haraka tupumue mitaani tafadhali.
Hali sio shwari nakushukuru sana mkuu maana vijana wa Chama chetu nao wamegeuka mitambo ya kufyatua matusi kwa wapinzani. Jitahidi wiki ijayo tupumzike baba maana mateso ya kunywa chai kwa pipi yametosha...