edon66
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 3,758
- 11,415
๐ ๐ ๐ ๐ Ww ushafunguliwa jicho la tatu mpk utake kumfungua mwenzio mkuu ๐Je unataka kufungua jicho la tatu
๐ ๐ ๐ ๐ Ww ushafunguliwa jicho la tatu mpk utake kumfungua mwenzio mkuu ๐Je unataka kufungua jicho la tatu
Ww umelifungua Hilo jichoPesa mtatoa kama ukitaka kujua kufungua jicho la tatu
Mkuu jiheshimu..Unalombwa mkuu
Yakuz yavuz...fanya mara kumi na tano uku ukisema SIMBA YAVUZ SIMBA YAKUZVipi Simba anavuka kesho ndugu mwandishi?
Ms kwa hali yako nakushauli uanze sasa YAVUZ YAKUZ *45Ndugu mwandishi unaujua usingizi wa saa nane lakini??!!..enwei mkishafanya mje na mrejesho
Mkuu megic is realKweli poor brain!
NI wewe kama unataka pesa sasa tutaanza kufungua jicho la tatu kwa kuongeza maneno kama YUTRA SAKRA BATRA * 46Nikishafanya hayo mazingaumbwee pesaa zinakujaaa au nn kinatokeaa bwana mgangaa!?
Mkuu wewe ni billionaire wa hapo kesho.Yakuz,yavuz?
Aaaah hapana mkuu mimi energy level yangu hairuhusu kufungua jicho la tatu๐ ๐ ๐ ๐ Ww ushafunguliwa jicho la tatu mpk utake kumfungua mwenzio mkuu ๐
Hapana mkuu mimi energy level yangu hairuhusu maana inaangalia jina lako linaanza na herufi ganiWw umelifungua Hilo jicho
Nilitaka kusema kitu fulani lakini nikaangalia ID nikatulia mkuu.Hi ni mara ya pili natoa elimu ya Angel number lakini mod wamekua wakifuta kila siku its oky..
Leo natoa somo moja ambalo kama una roho nyepese usije jaribu hata kidogo.
Ikifika sa nane usiku jifungue chumbani kwako kama upo na mwenzako mwambie akupishe maana hilo jambo ni pasua kuchwa kidogo.
Baada ya hapo hakikisha ujavaa nguo zenye kukubana sana yaani uwe freely.
Katika hiko chumba hakikisha hakuna maji, chumvi wala kitana au chanuo.
Chukua simu yako kisha weka hii nyimbo kwa sauti kubwa sana kama una earphones vaa (Hoist the colour)
View attachment 3297278
Nyimbo hii inapoanza kuimba weww kuwa unasema haya maneno mara kwa mara
(YAKUZ, YAVUZ )
Mda huo unakua umekaa chini ujaegemea popote pale. Baada ya nyimbo kuisha kwa kuwa uliweka repeated one mara ya pili acha kusema haya maneno ila sasa hvi sema chochote unachotaka kukiona mda huo unakua umefumba macho.
Nb unapoonza hakikisha unamaliza
Nipp natoa elimu mkuu...Nilitaka kusema kitu fulani lakini nikaangalia ID nikatulia mkuu.
Sema jambo mkuu ili na sisi wngn tuone mambo yalivyoNilitaka kusema kitu fulani lakini nikaangalia ID nikatulia mkuu.
Mbaga ni miongoni mwa watu ambao inabidi uone maajabu na u wish unataka nini anza sasa kwa kunena haya maneno mara mia saba YAVUZ YAKUZI MATRA SUKA MASTRA๐ Dah huu uzi utakapoelekea ๐
Acheni uchawi wenu nyie ๐๐๐Sema jambo mkuu ili na sisi wngn tuone mambo yalivyo
Hapa nilipo nna majanga makubwa halafu tena unataka nifanye mambo nisiyokuwa na uelewa nayo ili nife kabisa au?Mbaga ni miongoni mwa watu ambao inabidi uone maajabu na u wish unataka nini anza sasa kwa kunena haya maneno mara mia saba YAVUZ YAKUZI MATRA SUKA MASTRA
Daaah mkuu tuwe seriously ๐ณ ๐ณ nyie ndo mnafanya nyuzi zangu niwe natoa elimu kwa pesa kule telegramJe kwenye kutamka nikakosea nikasema Mavuzi Mavuzi?