Fanya hivi usiku wa manane

Fanya hivi usiku wa manane

Hi ni mara ya pili natoa elimu ya Angel number lakini mod wamekua wakifuta kila siku its oky..

Leo natoa somo moja ambalo kama una roho nyepese usije jaribu hata kidogo.

Ikifika sa nane usiku jifungue chumbani kwako kama upo na mwenzako mwambie akupishe maana hilo jambo ni pasua kuchwa kidogo.

Baada ya hapo hakikisha ujavaa nguo zenye kukubana sana yaani uwe freely.

Katika hiko chumba hakikisha hakuna maji, chumvi wala kitana au chanuo.

Chukua simu yako kisha weka hii nyimbo kwa sauti kubwa sana kama una earphones vaa (Hoist the colour)
View attachment 3297278
Nyimbo hii inapoanza kuimba weww kuwa unasema haya maneno mara kwa mara

(YAKUZ, YAVUZ )


Mda huo unakua umekaa chini ujaegemea popote pale. Baada ya nyimbo kuisha kwa kuwa uliweka repeated one mara ya pili acha kusema haya maneno ila sasa hvi sema chochote unachotaka kukiona mda huo unakua umefumba macho.

Nb unapoonza hakikisha unamaliza
Nilitaka kusema kitu fulani lakini nikaangalia ID nikatulia mkuu.
 
Kashakuja ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™
 
Mbaga ni miongoni mwa watu ambao inabidi uone maajabu na u wish unataka nini anza sasa kwa kunena haya maneno mara mia saba YAVUZ YAKUZI MATRA SUKA MASTRA
Hapa nilipo nna majanga makubwa halafu tena unataka nifanye mambo nisiyokuwa na uelewa nayo ili nife kabisa au?
 
Je kwenye kutamka nikakosea nikasema Mavuzi Mavuzi?
Daaah mkuu tuwe seriously ๐Ÿ˜ณ ๐Ÿ˜ณ nyie ndo mnafanya nyuzi zangu niwe natoa elimu kwa pesa kule telegram

Neno ni YAVUZ YAKUZ..
HAYO YAKO SIO MKUU UNAKOSEA ๐Ÿ˜‚๐Ÿ™๐Ÿ™
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom