Fanya haya uepuke kuchunwa...

Fanya haya uepuke kuchunwa...

baba umesahau kama mwanamke katoka katika ubavu wa mwanamme so ni jukumu lako kutake good care of her ikiwemo mahitaji yake .mambo ya wazazi weka pembeni kama unataka wazazi wamuhudumie geto kwako unampeleka kufanya nn

Kutoka ubavuni sio reason ya kumfanya awe tegemezi!

Nitamhudumia mke na familia yangu lakini sio girlfriend!
 
Wakati nampa yeye pesa ya mahitaji wadogo zangu nani anawapa?


||"You were too young to understand"||
wataka kuniona nimependeza tu, ili unitambulishe kwa rafiki zako, lakini kuhudumia hutaki lohhhhh. Utahudumia tu. Utajikuta unatoa tu mahuduma bila mwenyewe kujijua yaani, chezea watoto wa mujini wewe
 
Nimeshuhudia level za kipuuzi za kufikiri hapa kwa mleta thread.
Yaani you will go through all that trouble kisa usionge? hayo ni majanga kweli
Unachanel energy zako kwenye perception mbovu kabisa.
Kuwa huru na maisha yako na utatimiziwa jinsi utakavyo

Umeielewa mada?????

Maana sio wote walio isoma wameilewa unaweza kuwa mmoja wao,
 
wenzio wanatoa bila kuombwa acha kulalamika hapa,tafuta huyo ambae atakubali kua mpnz wako alaf usimpe hata sent,eti anakuja kwako papuch umle alaf nauli yake kwenda na kurudi.bidada akikutana na mashoga zake wakimwambia wanavyohudumiwa lazima na yeye atafute wa kumhudumia ukumbuke pia mpenz wako unaetarajia awe mkeo si sahihi kusema unamhonga.

Nilisha mpata.

Kumbe papuchi zenu dili???????

Itamhudumia mke sio girlf.

Kumhudumia mpenzi wako ni kumhonga maana hana uhalali wa kupata hiyo huduma......
 
Usitoe mkuu. Huwa hamlazimishwi, si ndio?
We piga zako deki tu 🙂

Siku hizi ilisha kuwa kama ni lazima kuhonga girlfriend...

Pata mkasa kamili hapa


 
Last edited by a moderator:
wataka kuniona nimependeza tu, ili unitambulishe kwa rafiki zako, lakini kuhudumia hutaki lohhhhh. Utahudumia tu. Utajikuta unatoa tu mahuduma bila mwenyewe kujijua yaani, chezea watoto wa mujini wewe
Hahaha..wewe si ulishanikataa..
 
Mimi si miongoni mwao ila nimekuja nione kama kuna watu humu
 
Wanaume tumeumbwa kuchunwa na wakati mwingine usipochunwa unaona hujakamilika! Mwanaume anayeogopa kuchunwa anapingana na nature
 
Mi nahonga tena sana.Sema sitoi cash Bali natoa materials ambazo nanunua kwa jina langu na risiti au hati nabakinazo mwenyewe..mf music systems, tv,simu,kiwanja,na vingine vingi tu.maana najua kama mwanaume ninayependa wanawake wazuri wazuri kunabaadhi ya gharama hazikwepeki na najua kabisa wanawake sio wakuaminika ivo nabaki na risiti na hati kwa tahadhari yani siku akijichanganya tu nanyang'anya vyoote then anapewa mwingine mpya.

Nb: cash sio km sitoi kabisa no! Natoa lakini kwenye issue ambayo ni reasonable.Na hadi nitoe cash au asset kwa mwanamke ujue kanibamba mno na niponae kwenye relation kwa muda usiopungua miezi sita.
 
Back
Top Bottom