Fanya haya uepuke kuchunwa...

Fanya haya uepuke kuchunwa...

Unapenda vya kupewa eti??

Huyo mpenzi wako ni wale mabachelor wanaoishi nyumbani wakihesabu tarehe kuvizia mshara wa mzee utoke.

no anakazi nzuri tu ila ndio amenizoeza ivo nkimwambia anasema muda wa kufanya hayo utafika tu so binti narelax tu
 
Kila mtu aishi maisha yake.
Wewe kama unaona kumhudumia mwenzio ni ushamba, waachie wanao ona umuhimu.
Wewe tunza zako kwenye kibubu uzikumbatie usiku.
Happiness is very relative.
 
Nakuunga mkono kwenye usafi wa chumba, kufua, kupika nk.
Lakini sio kwa sababu ulizotoa.
 
Mmmmh sio wazaz wote wanauwezo Wa kuyamudu mahitaji ya watoto wao so wapenz wao ndio push factor katika maisha.. mi nafikiri ni vizur kumpa pesa ya mahitaji ili kumlinda na majaribu mengine

Wakati nampa yeye pesa ya mahitaji wadogo zangu nani anawapa?


||"You were too young to understand"||
 
Kama hauna uwezo wa kujimudu unawezaje kuwa na mahitaji yatakayo washinda wazazi wako mpaka ukamua kumgeuza boy wako kitega uchumi????


Na wewe unashiriki vipi kuongeza kipato cha huyo boy wako mpaka upate ujasiri wa kumuona anamudu majuku yako????

baba umesahau kama mwanamke katoka katika ubavu wa mwanamme so ni jukumu lako kutake good care of her ikiwemo mahitaji yake .mambo ya wazazi weka pembeni kama unataka wazazi wamuhudumie geto kwako unampeleka kufanya nn
 
baba umesahau kama
mwanamke katoka katika ubavu wa mwanamme so ni jukumu lako kutake good
care of her ikiwemo mahitaji yake .mambo ya wazazi weka pembeni kama
unataka wazazi wamuhudumie geto kwako unampeleka kufanya nn

woman is a complex creature to understand
 
Uoga wa maisha ni janga.

Una matatizo weekend imekuchanganya.

Eti tumia pesa ikuzoee,,kinachotoka kinarudi???

Tunza pesa ikuzoe..

Tutajitibia kwa hizo pesa mkisha tuachia vvu,,sio pesa nikuhong,e bado na virusi uniachie nikosea hata pesa ya kujinunulia matunda.
 
Vijana hawa walioelezewa kwenye hii hadithi wanaishi nchi gani? Maana kaka zetu hata vyombo hawatoi mezani isitoshe kufua nguo au kupika.
Kama wapo basi heri yake kwa malezi aliyopata.
 
Mi nina housegirl ambaye haishi kwangu. Anakuja asubuhi, anafanya kazi zake ns jioni anarudi kwao.
Dhana si kuhonga, ila ni kusaidia pale inapobidi. Mi huwa muwazi nikiona ni mizinga style lazima aambiwe na muda mwingine mimi ndo huwa nampa bila hata kuomba.
Kifupi, yeye siyo mjakazi wangu, na mimi siyo atm yake.
 
Una matatizo weekend imekuchanganya.

Eti tumia pesa ikuzoee,,kinachotoka kinarudi???

Tunza pesa ikuzoe..

Tutajitibia kwa hizo pesa mkisha tuachia vvu,,sio pesa nikuhong,e bado na virusi uniachie nikosea hata pesa ya kujinunulia matunda.

Dunia hadaa
 
umeona eeeeh bila kuambiwa atasema bby acha nitakusaidia
lakini ukiona unapika na girl wako kakutumbulia mimacho anasubiri kiive jiulize mara mbili

Kwanza atakuwa hata aibu hana kweli yaani mimi naonja chumvi yy aniaangalie tu then akuambie uwo wali uckauke sana ujue ushakuwa bushoke kabla hujaowa sasa cjui ukiowa itakuwaje
 
Kwanza atakuwa hata aibu hana kweli yaani mimi naonja chumvi yy aniaangalie tu then akuambie uwo wali uckauke sana ujue ushakuwa bushoke kabla hujaowa sasa cjui ukiowa itakuwaje

hahahahahahaha cc Phlagiey
 
Last edited by a moderator:
Akiwepo msaidiane, na asipokuwepo fanya kazi zote mwenyewe.
ninaamini mmependa kutokana na tabia zenu nyingi kukubaliana
 
hmmm... ngoja nimalizie hii mission impossible 9 nije!
 
Nimeshuhudia level za kipuuzi za kufikiri hapa kwa mleta thread.
Yaani you will go through all that trouble kisa usionge? hayo ni majanga kweli
Unachanel energy zako kwenye perception mbovu kabisa.
Kuwa huru na maisha yako na utatimiziwa jinsi utakavyo
 
Back
Top Bottom